Kamanda Moshi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,928
- 2,867
Ni tech , hapo si ni pale head office pembeni ya assembly hall mkuu?Hii sio Tech. Hapa "umebuni mbinu za kazi"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tech , hapo si ni pale head office pembeni ya assembly hall mkuu?Hii sio Tech. Hapa "umebuni mbinu za kazi"
Yaa shule za siku hizi kama mabanda ya mradi wa kufugia kuku.Wakoloni na wamisionari walijua kujenga structures za kueleweka.
Shule za sasa ivi ni uozo mtupu siasa nyingi zinasababisha majengo yawe chini ya kiwango
Nimerudi kutazama picha ni penyewe kweli. Ila wakati naenda pale hilo paa lilikuwa limerekebishwa kwenye zile hela serikali ya Magufuli ilitoa wakafanya ukarabati wa mabweni yote, madarasa kadhaa, hall, ofisi, majiko, mess hall, vyoo na mengine.Ni tech , hapo si ni pale head office pembeni ya assembly hall mkuu?
Private mkuuHii ni Private au Gov..?
Shule nzuri sana broAl maarufu kama Galaxy Boys.
Ilboru secondary school View attachment 3045937
Hii sasa ndio yenyewe,ikitokea umepewe jukumu la kuwatumikia wananchi,halafu akatokea mla kwa kamba sehemu yako ya uwajibikaji lazima umtafune.
Kibaha Secondary school
View attachment 3045939
Hii haina jina wajameni,hujaitendea haki!
Home sweet home, CHUWA wote tukutane hapa.Chuma hicho
Tosamaganga secondary school
Vipi akina mangi,shoo,kimaro,chuwa sisi tukutane wapi?Home sweet home, CHUWA wote tukutane hapa.
mbona haivutii kivile, duhView attachment 3048295View attachment 3048296
International school of Tanganyika
Shule yenye gharama zaidi Tanzania
Champion wa CECAFA 2024 Jana kapewa ada ya mtoto mmoja wa IST.
The Glorious ......
noma sanaUkutane na Ambonisye hapo utajua haujui
mzee na wewe ni wa iyunga ?Lumbila imesaidia sana Vijana kupona 😜
Kuna wakati tuliambiwa tukashiriki mazishi ya mtoto mmoja wa below 3yrs hapo Lumbila.
Mkuu wa Shule alisema Baba wa huyo mtoto alikuwa mmoja wa Mwanafunzi mwenzetu🙌
Technical school live long forever..!!!The Glorious ......