Pre GE2025 Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Safi sana ,vilaza wote ni kupiga spana tuu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Daudi Albert Bashite
Bashite amebahatika kuwa na mdomo mkubwa lakini ubongo kisoda. Ukiona mtu anapata division 0 form 4, jua huyo kichwani hakuna kitu kabisa.

Bashite anahangaika sana kuliziba pengo la ubongo kwa kelele na maigizo mengi sana.
 
Rais angefukuza huyo RC ameenda kuleta mtafaeuku badala ya Maendeleo.

Amejaza machawa wanaojifanya eti wanamlilia πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shule siyo hoja kwenye ubunge, hata kwenye darasa la 7 anaruhusiwa kwahiyo kama madiwani hawakutani shule yako siyo hoja, itakusaidia kufanya biashara zingine
 
Kwanza ya hayo wajiulize hao madiwani walichaguliwa kihalali au ndio ule michongo ya 2020?
Pesa mnakula hamna linaloonekana kwa wananchi majoho bila utendaji.!
Gambo yuko sawa!
 
Shule siyo hoja kwenye ubunge, hata kwenye darasa la 7 anaruhusiwa kwahiyo kama madiwani hawakutani shule yako siyo hoja, itakusaidia kufanya biashara zingine
Na ndio maana tunawaBunge wa hovyo humo bungeni hawana mchango wala msaada kwa wananchi!.
 
Amejaza machawa wanaojifanya eti wanamlilia πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣

Mbona hizo ndio huwa ni mbinu za ma-ccm.Hata samia amejaza machawa wanaojifanya wana bubujikwa na machozi. Akina tlaatlaaa, lukas mwashambwa na choice variable wote ni machawa wa samia ambao huwa wanabubujikwa na machozi.
 
🀣🀣🀣

Mbona hizo ndio huwa ni mbinu za ma-ccm.Hata samia amejaza machawa wanaojifanya wana bubujikwa na machozi. Akina tlaatlaaa, lukas mwashambwa na choice variable wote ni machawa wa samia ambao huwa wanabubujikwa na machozi.
Bora Samia ni Rais,Sasa huyo RC ameenda kuvamia Jimbo na anatumia nafasi ya Serikali vibaya πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Rais angefukuza huyo RC ameenda kuleta mtafaeuku badala ya Maendeleo.

Amejaza machawa wanaojifanya eti wanamlilia πŸ˜‚πŸ˜‚
Utangoja sana Gambo.Sasa ndio mmejipalia mkaa.Chama hakikutaki wala huna support ya wananchi.Hutapita kwenye mchujo na pumba na kuropoka kwako kunazidi kukuharibia.
 
Halafu utasikia kule bungeni hamna kitu tunachopata,jinga sana
 
Utangoja sana Gambo.Sasa ndio mmejipalia mkaa.Chama hakikutaki wala huna support ya wananchi.Hutapita kwenye mchujo na pumba na kuropoka kwako kunazidi kukuharibia.
Kwa hiyo Mimi ni Gambo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Anaeamua mchujo ni Rais na si vinginevyo.

Kimsingi Bashite ni brainless ni mbulula tuu ndio wanamsapoti.

Mwisho Gambo ni Tiss sio lazima awe Mbunge.
 
Na ndio maana tunawaBunge wa hovyo humo bungeni hawana mchango wala msaada kwa wananchi!.
Wabunge wa darasa la 7 ndo wanajenga hoja bungeni zinazokua related na maisha halisi ya mtanzania, kina msukuma na kishimbe hao wasomi ndo wamejaa uchawa
 
Hawaa machawa madiwani mkuu wasiwaumize kichwa kanwe YAAN wangejua ndioo wanamharibia rc kama kweli anayajuahaya


Binafsi NATAMANI Gambo asijibu maana mpaka sasa WABUNGE waneenda kinyume na Amri ya Chama kuhusu uchaguzi anyway
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…