ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Afadhali sisi wa darasa la nane la zamani ?!Kwa shule zipi wanazotambiana? Shule zenyewe Ambazo professor na darasa la 7 tunafanana alafu bado tunatambiana!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali sisi wa darasa la nane la zamani ?!Kwa shule zipi wanazotambiana? Shule zenyewe Ambazo professor na darasa la 7 tunafanana alafu bado tunatambiana!!!
MWanasheria Wako Yupo ?..Mama Abduli na Bashite ndio hawakwenda shule, walipata zero form four.
Wauane tuzikeMbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, amejibu mashambulizi yanayohusiana na wito ulioibuliwa na baadhi ya madiwani wa jiji la Arusha wakimuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo.
Gambo amesema kuwa yeye anatekeleza majukumu yake kama mbunge kwa ufanisi na kujivunia elimu yake, akisisitiza kuwa hakuna aliye na haki ya kumzuia kufanya kazi aliyopewa na wananchi.
Soma, Pia: Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini
"Tofauti kati ya mtu aliyeenda shule na mtu ambaye shule yake ni ya mashaka ipo wazi," alisema akisisitiza kuwa ni muhimu kwa kiongozi kuwa na elimu ya kweli ili kuhakikisha kuwa anatekeleza majukumu yake ipasavyo na kusisitiza kuwa
"Ni lazima ifike mahali uoneshe tofauti ya mtu ambaye amekwenda shule na mtu ambaye shule yake ni ya kubabaisha au ni ya mashaka. Kwa sisi ambao tuna uhakika na shule zetu, kila jambo linapotokea tunahitaji kutafakari na kufikiria na kuangalia athari ya kila kinachofanyika," aliongeza.
Katika kujibu wito wa baadhi ya madiwani ambao walimuomba Makonda achukue fomu ya kugombea ubunge, Gambo amesema kuwa hakuna mtu anayekatazwa kugombea ubunge, lakini akasisitiza kuwa mbunge anachaguliwa na wananchi na sio madiwani.
"Kama mtu ana ndoto ya kuwa mbunge, aache njia za mkato. Asubiri utaratibu na aje kwenye uchaguzi, aone kama ngoma ya kitoto inakesha," alisema kwa kujiamini.
Gambo amebainisha u pia shutuma za kwamba watu wanajaribu kutumia mamlaka zao kuingilia mchakato wa uchaguzi na kutaka kumchafua.
"Kuna watu wanaona kazi inakwenda na wananchi wanatukubali, wanataka kutumia mamlaka yao kutuchafua na kuleta ajenda zisizo na msingi.
Mbunge huyo pia amekosoa vikali hali ya baadhi ya wanasiasa kutoa machozi kwa sababu ya kushindwa kupata fedha walizokuwa wakitarajia kutumika kinyume na utaratibu.
"Kama kuna mtu analia kwa kupoteza fedha alizokuwa akitarajia, machozi hayo ni ya halali kwa sababu walijua wazi kuwa wangezitumia kwa manufaa yao binafsi," aliongeza.
Kwa kumalizia, Gambo amekumbusha kuwa yeye ni mbunge anayetekeleza majukumu yake kwa manufaa ya wananchi wa Arusha Mjini, na hakutakuwa na mtu yeyote atakayemzuia kufanya hivyo kwa kufuata utaratibu.
View attachment 3249376
CC:Gambo.Kwa mtazamo wangu, ukiwa msomi wala huna haja ya kujitangaza bali matendo yako yatawaonyesha watu kuwa wewe ni msomi!! Kwa majibu ya namna hii na kujigamba kwingi, hapo shule hamna! Zaidi anaendeshwa na mihemuko!!!
Makonda pia ni TissKwa hiyo Mimi ni Gambo 😂😂😂😂
Anaeamua mchujo ni Rais na si vinginevyo.
Kimsingi Bashite ni brainless ni mbulula tuu ndio wanamsapoti.
Mwisho Gambo ni Tiss sio lazima awe Mbunge.
Kampeni tyu hizo, si ajabu wamekula chakula bya Usiku pamoja.Hili bifu lishakua zito aisee
Wabadilishane, aende akagombee Arusha😄Mtemvu atakubali sasa? Lol
BashiteKwahiyo mwenye shule ya mashaka ni nani?
Mwijaku stailiKwa mtazamo wangu, ukiwa msomi wala huna haja ya kujitangaza bali matendo yako yatawaonyesha watu kuwa wewe ni msomi!! Kwa majibu ya namna hii na kujigamba kwingi, hapo shule hamna! Zaidi anaendeshwa na mihemuko!!!
Labda KARMA inamuandama kwa ajili ya kudhalilisha Wazee ???!Paul Makonda a.k.a Albert Bashite Malyangili, yeye ndiye mwenye shida. Anaingilia majukumu ya Mbunge ktk namna ya hujuma kwa kutumia madaraka yake ya ukuu wa mkoa kumhujumu mbunge aliyechaguliwa na wananchi...
Anafanya hivi kwa sababu naye anautaka ubunge akidhani anaweza kuupata...
Na hii tabia, ndiyo iliyomponza mwaka 2019 akiwa RC wa DSM wakati huohuo akilitamani jimbo la Kigamboni ambalo alishindwa kwenye kura za maoni tu ndani ya chama chake na kwa sababu hiyo akaukosa ubunge na kuupoteza ukuu wa mkoa kwa wakati mmoja...
Paul Makonda hawezi kuwa mbunge wa Arusha hata afanyeje...!!
Na fizikia?Kasomea Kemia.
Mbona wanaaibishana sanaBashite
Ni kweliNa fizikia?
Teeth ???! 😳😱. !Makonda pia ni Tiss
Aulizwe JK aliyemteua Ukuu wa wilaya !Hivi Makonda aliwahi kuonyesha vyeti vyake alivyoambiwa 2017?
Ni kweli
Unajitoa ufahamu. Kuna watu walifukuzwa kazi kwa sababu ya vyeti feki hilo haujui ? Kutumia cheti cha mtu mwingine ni kosa, ni heri mara 10 yule mbunge wa darasa la saba D ambae anajua kusoma na kuandika kuliko mwizi wa vyeti.S
Sifa anayopaswa kuwa nayo anayetaka kuwa mbunge TZ ni kujua kusoma na kuandika 😳 !
Fulu sitopu ! 🙌