Man filandu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2023
- 412
- 402
JK aulizwe ya nini ? mbona haujasema Magufuli na hata baada kugundua kuwa jamaa ana vyeti feki aliendelea kula shavu DS..mAulizwe JK aliyemteua Ukuu wa wilaya !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK aulizwe ya nini ? mbona haujasema Magufuli na hata baada kugundua kuwa jamaa ana vyeti feki aliendelea kula shavu DS..mAulizwe JK aliyemteua Ukuu wa wilaya !
x 2000......Afadhali sisi wa darasa la nane la zamani ?!
kwani wewe umekulia Congo ambapo vyombo vya habari havifiki mpaka leo haujui?Kwahiyo mwenye shule ya mashaka ni nani?
Basi tuseme Gambo kaanzisha vita na makondakwani wewe umekulia Congo ambapo vyombo vya habari havifiki mpaka leo haujui?
Daudi
Bin
Albert
Kwan we humjui boss kubwa wa A.Town???Nani Sasa hajaenda shule?
Kama huelewi hilo basi na wewe shule yako ni ya mashaka!😀Kwahiyo mwenye shule ya mashaka ni nani?
Nashukuru sana mkuuKama huelewi hilo basi na wewe shule yako ni ya mashaka!😀
"Mbumbumbu"Hii maana yake Mama kateua kilaza
Hajajitangaza, amezibu hoja ili watu waelewe tofauti ya msomi kama yeyey na Makonda. Tatizo ni kwamba watu waio na elimu ya kutosha ndio wanaomuelewa Makonda na kukubali ujinga wakeKwa mtazamo wangu, ukiwa msomi wala huna haja ya kujitangaza bali matendo yako yatawaonyesha watu kuwa wewe ni msomi!! Kwa majibu ya namna hii na kujigamba kwingi, hapo shule hamna! Zaidi anaendeshwa na mihemuko!!!
Mimi naona bora wauane tuAise! Gambo anatonesha majeraha sasa!
Nadhani kila mtu afanye kazi yake aliyoitiwa kuifanya Arusha.
Mbunge afanye kazi zake kama Mbunge,RC afanye kazi zake kama RC!
Changamoto nayo iona wote ni Vijana,wanasukumwa na mihemko ya Ujana.
Mama Abdul atatue mgogoro huo!
Mimi nafurahi kwa haya anayopitia Gambo.... karmaKweli nimeamini malipo nihapahapa akumbuke.aliyomfanyia.lema
Daudi BashiteKwahiyo mwenye shule ya mashaka ni nani?
Now wako wapi? Sijui kwanini mpaka sasa tuna mentality ya kuamini usomi ni vyeti..Mama Abduli na Bashite ndio hawakwenda shule, walipata zero form four.