Pre GE2025 Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Pre GE2025 Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa mtazamo wangu, ukiwa msomi wala huna haja ya kujitangaza bali matendo yako yatawaonyesha watu kuwa wewe ni msomi!! Kwa majibu ya namna hii na kujigamba kwingi, hapo shule hamna! Zaidi anaendeshwa na mihemuko!!!
Hajajitangaza, amezibu hoja ili watu waelewe tofauti ya msomi kama yeyey na Makonda. Tatizo ni kwamba watu waio na elimu ya kutosha ndio wanaomuelewa Makonda na kukubali ujinga wake
 
Aise! Gambo anatonesha majeraha sasa!
Nadhani kila mtu afanye kazi yake aliyoitiwa kuifanya Arusha.
Mbunge afanye kazi zake kama Mbunge,RC afanye kazi zake kama RC!
Changamoto nayo iona wote ni Vijana,wanasukumwa na mihemko ya Ujana.
Mama Abdul atatue mgogoro huo!
Mimi naona bora wauane tu
 
Nyukaneni mkimaliza lieni kilio kikuu kwani Lema anakwenda kuchukua Jimbo lake mapema sana saa 2 asubuhi
 
Back
Top Bottom