Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

Siku zote mambo yasiyo na Mungu huwa na migogoro daima! Gambo unajua kuwa ushindi wako haukuwa halali, dhambi hii itawaandama hadi ndani ya vizazi vyenu.
 
....chickens coming home to roost.
 
Gambo yupo sawa, unamfungiaje mtu biashara, atailipaje hiyo kodi kama haingizi chochote...




Cc: mahondaw
 
Nakaona hako kaDC ka arusha kama kanaharajati flani hivi kajinga kasikojua la kufanya .kana dhani ofisi ya DC ni sawa na ile ya uvccm iringa
Gambo ni nani wako?
 
Vyuma vinasigana. Mtasagana mpka mchambuke chambuke
 
Huyo jamaa ni mjinga sana sijui alidhani ubunge ndio fainali kwa sasa yeye ni beggar kwa Mkurugenzi, bila Mkurugenzi yeye hatoboi hata tone halafu nawanganinia watumishi kuwepo kwenye kikao kwa msingi upi?? Mtumishi wa Serikali hawajibiki kwake yeye apambane na uongozi wa CCM WILAYA hana tena mamlaka.
 
Gambo ni nani wako?
Ni
Sema yeye anawazidi mpunga hao kina Ded na mkuu wa mkoa na marupurypu
 
Acha wachapane wao kwa wao sasa! Arusha tena! Mitano tena
 
Ni

Sema yeye anawazidi mpunga hao kina Ded na mkuu wa mkoa na marupurypu
Kwa mshahara hawazidi chochote. Tena mshahara wa mkuu wa mkoa ni mkubwa kuliko wa mbunge. RC analingana na waziri kimshahara. Anachowazidi ni hayo maposho waliojiwekea wabunge ambayo Rais anaweza yafyeka wakati wo wote.
 
Acha wafu wazike wafubwao
 
Gambo is followed by Karma. Alitumia sana mamlaka yake alipokuwa RC kumsumbua Lema. Akaendelea mpaka kuwasumbua akina Msando . Kwa Arusha kulivyo Gambo wameshaanza kumfanyia figisu wenyeji na wamepata urahisi sababu kapelekewa DC sahihi kabisa.

Ajiandae kisaikolojia kuwa mbunge wa muhula mmoja. Wenyeji hawajafurahi sana mgeni kuwa mbunge wao. Watu wa kaskazini wote wzna huo ubaguzi
 
Umeanza.Ulimwona Lema hafai sasa pambana na wana ccm wenzio pamoja na hali yako.
 
Mh. Gambo:
Kuna kajimsemo eti " Dhuluma haidumu na ikidumu huangamiza"
Hebu tuone sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…