Pre GE2025 Gambo: Mimi sio Mfanyakazi wa Serikali ni Mbunge, Makonda anahitaji kuelimishwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mi nadhani labda point ilikuwa vile baada ya kuuliza maswali ambayo majibu yake yalishajadiliwa kwenye vikao. Kama angekuwa anahudhuria huenda asingeuliza, ndio maana akaambiwa awe anahudhuria.
 
Watajuana wenyewe huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…