Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
- Thread starter
-
- #101
Nabi went 49 with cheap players and less resources . This guy is uselessKufungwa mechi moja mmesha anza kupanic?
Washabiki wa Tanzania ni wa ajabu sana; wanataka wawe wa Timu ambayo haitafungwa na timu nyingine yoyote......kitu ambacho hakipo DUNIANI
Kama ingekuwa Yanga na Simba hazifungwi na timu nyingine, kungekuwa na haja gani ya kuwa na Ligi?
Mbona ulaya timu kali kabisa zinafungwa goli tatu hata tano na maisha yanaendelea
By the way; Jana wachezaji wa Yanga walikuwa wanacheza kwa uangalifu wasiumie kwa ajili ya mechi kubwa ya Kimataifa iliyoko mbele yao; na kwa wanaojua hesabau wanaweza kusema kufungwa jana kunaweza kuwa advantage kwao kwa mechi ya kimataifa.....
Mna kocha pale . GAMONDI tapeli tapeli tuYaani uzi wako zaidi ya asilimia 90 wamekupinga, ndio ujue wewe mpira ujui. Una matatizo binafsi na kocha. Kuna watu wame comment humu kwa takwimu na kiufundi ila cha ajabu hukutia pua yako kujibu hoja. Wewe hujui mpira uwe unatuliaga tu
sure. huyu gamondi ni boxAnafanya vizuri au ndio hivyo tuu!?
Wamtimue arudi tu jangwani kiukweli hakuna kocha niliowahi muelewa falsafa zake kama Nabi.
Muhimu ni ushindi pia alikua mgumu kuruhusu magoli.
you know ball. ni kama ajui what he wants. he dominates the game ila ana decisions of a toddler. he needs to study the games. and see how to do better subs. 🚮 gamondi sio wa kukaa yanga kwa muda mrefu. they should be recruiting a next manager.most of time huwa namuona kocha kama anazinguua ila watu ninaofanya nao mjadala wana utimu sana ..vitu tactical kuviona hawawezi....mzize namkubali sana na kuna baadhi ya mechi naona uhitaji wake lakini atangangana na kina msonda dakika za kufungia anamingiza...sio hilo tu kuna vingi vinavyoashiria hajui au hawezi kuwa kocha bora yanga anashambulia sawa ...kujilinda anasahau sana au kuheshimu mppinzani
caf champions league ni bahati na vibes tu. simba is not playing well in a weak group games . playing in the quarter finals. BAHATI TUUkienda kwa takwimu kati ya Nabi akiwa Yanga na Gamondi, za Gamondi zipo juu kwenye ligi kuu.
Tukija kwenye klabu bingwa, Yanga imekutana na test ngumu tatu
Medeama, Belouizdad na Al Ahly lakini timu imeweza kuruka kihunzi ila Nabi kakutana na Etoil du Sahel imemtoa mashindanoni.
Budget ya Far Rabat na Yanga, ya Rabat ipo juu lakini timu Yanga inacheza robo fainali ya klabu bingwa
Tukirudi kwenye hoja, UWEZO WA GAMONDI NI MDOGO MNO.Yanga atachukua ubingwa kwa sababu Simba ana uwezekano mkubwa wa kuendelea kudondosha points na Yanga ana uwezekano mdogo sana wa kudondosha points. Haya matokeo yanachochea sana Uto kurudi kucheza mechi nje ya uwanja, sasa wale ndugu zangu wa Simba wapowapo tu wanasubiri kuletewa ubingwa
Kwahiyo Nabi alitolewa champions league kwavile hakuwa na bahati?caf champions league ni bahati na vibes tu. simba is not playing well in a weak group games . playing in the quarter finals. BAHATI TU
Uwezo wa kufanyaje?Tukirudi kwenye hoja, UWEZO WA GAMONDI NI MDOGO MNO.
Anabebwa na uwezo wa wachezaji
Anawaiga wachfuzi kina geof lea wazee wa waswanglishUngeandika kwa kiswahili kitupu pasipo kuchanganya lugha ungeeleweka vizuri.. Unahoja lakini uwasilishaji wako niwakilimbukeni
Weka hapa hoja ya kimbinu na kiufundi, tatizo la Gamondi liko wapi?Tukirudi kwenye hoja, UWEZO WA GAMONDI NI MDOGO MNO.
Anabebwa na uwezo wa wachezaji
for such substitution. he should face the heat, it has been going on for some times nowBaada ya kufungwa mechi moja povu lote hilo, hivi hatujajua tu mpira ni mbinu za kivita?
Elewa neno mbinu za kivita. Hili kwa mtu mzima alitakiwa alielewe mapema , nilijua mechi na Azam ni mbaya na ngumu
sure. tena twice with far Rabat tooKwahiyo Nabi alitolewa champions league kwavile hakuwa na bahati?
It seems you know nothing about that, have you noticed how much games he lost? You know his profile? Compare to NBC premier league coachesfor such substitution. he should face the heat, it has been going on for some times now
yes. nabi went 49 games with a worst squad . 2 seasons 2 losses. what are you talking about?It seems you know nothing about that, have you noticed how much games he lost? You know his profile? Compare to NBC premier league coaches
From my inner heart ninakuunga mkono kabisa. Mimi nilipoona Mzize kaanza badala ya Musonda nikajua Leo kazi ipo. Pamoja na Mzize kufunga goli lakini tayari alikuwa amekosa magoli mawili ya wazi kabisa. Pacome alipoumia mtu sahihi wa kuingia alikuwa ni Okra lakini dah, akaingizwa Guede ! Hapo hapo nikajua Yanga haiwezi shinda hii mechi kwa sababu Mzize na huyo Guede wote ni wazito. Kwa kweli Kocha Gamond anaferi katika sub ! Tofauti na mtangulizi wake Nabi ambaye alikuwa mtalaamu wa Sub. Suala la Yanga kufungwa na Simba mechi ijayo Hilo sina hakika nalo sana maana Simba nao Bado wanajitafuta tu na wanategemea zaidi marefa.GAMONDI IS PATHETIC OF A MANAGER. #FACTS
Sababu ni hizi
1. AKILI ZA SUBSTITUTION HANA KABISA, leo nimejua hata ajui wachezaji wake completely ni kama he lost his mind adding to that, he has no tactics kabisa, nothing new. off position play kwa players is what he knows. useless manager to be precise.
2. Since Guede arrival, Gamondi kawa kama kichaa ajui kuwa he signed ana error anajaribu kutuprovia kuwa ni mchezaji mzuri. but big NO. subs zimekuwa worse , he is not the one. Ana mforce sana kwa MASHABIKI. we done with this. engineer asipo INTERFER. yanga itapotea. sundowns game is a lost course
3. Yupo inconstency sana. kama una bet don't give Yanga your money. huyu jamaa will lose a game or draw in wonders ways. yani ana depth of players lakin anamuona Guede tu. The moment guede yupo ndani. it's OVER. the player plays against the team kama yanga wapo 10 uwanjani.
4. Yanga achukui LIGI :: kwa staili yake hii amna kitu hapa, hana mipango kabisa . he will lose the Simba match. and 1 more match and lose to a 2 point lead. people use low block and he is done.
5. Yanga waingie sokoni kwa kocha mpya. huyu amna sehemu atawafikisha kama club. nope he is not the one. awezi fikisha club to the top. naona ndo maana he is always get fired in his 1st season.
6.AM DONE , mimi leo nimekuwa najiuliza sana. pacome sub ya guede. at that moment. shekhan . okra. musoda wapo nje.
nikaajua amna kitu humu.
max sub ya musonda [emoji848]. he has the depth. he cant use it. watch guede play against sundowns. tena more minutes than he deserves.
7. Leo nimeona mwanga. I can't respect him ever. iko hivyo nimevua vyeo vyote huyu gamondi wa mchongo. I think jamaa ajui anachofanya at times. sio emotionaly I have seen him do alot of sub mistakes leo. nimejua kuwa kweli akili hana. and he is not the one.
8. Anatembelea upepo wa Nabi. he was so tactical unajua kabisa anataka nini. Ana mipingo.
huyu gamondi amna kitu, akili imestack , useless after 1 season. fire him . amna progress hapa.
Note : Yanga mwaka huu bila bila amna kikombe mtachukua..
mamelodi atawapiga 5, mtatoka kwa aibu.
Simba atawapiga tena.
gamondi ataua depth ya kikosi
next season its over for your dominance. lastly don't watch the sundowns match utakuwa frustrated. atafanya sub ya guede kituko tena [emoji706][emoji706].
pacome off - guede In [emoji23][emoji23] kisa rushwa yake icheze tu..
Why are you comparing with nabi ,not benchika or dabo ,yes. nabi went 49 games with a worst squad . 2 seasons 2 losses. what are you talking about?
he doesn't have the tactical touch.
I said it
Gamondi na Yanga ndio msimu wa kwanza, embu linganisha msimu wa kwanza wa Gamondi vs msimu wa kwanza wa Nabi kama lengo ni kufanya ulinganifu.yes. nabi went 49 games with a worst squad . 2 seasons 2 losses. what are you talking about?
he doesn't have the tactical touch.
I said it