Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Mkuu ukiibiwa simu hauwezi kuandika "wezi watu wabaya sana daa" ila ila kuna lugha utaitumia kuandika. Sasa kama mjukuu wangu aliumizwa kwa nini babake asieleze kwa ufupi ndipo aweke na hayo maneno chini?.
Hivyo ni vigumu kuwa na mjadara kwa jambo usilolijua, kumbuka...
'Hekima inaonekana pale unapomwambia mtu jambo kwa lengo la kushauri au namna nyingine'
Unamwita mjukuu wako, ndio wanakutaka Sasa ukaoe mzigo ule...mkwe kasema
Nakubaliana na wewe najaribu kuwaza tu upande wa pili