Janabi na mahubiri yake yoote Yale Kuna siku atalamba ardhi! Na hata yeye hajui atakufa kwa lipi!Huyo mlevi na chapombe ulevi umeigharimu afya yake
Endeleeni kunywa na kujishindilia mi bia na miAlcohol kupitiliza kwa makusudi muue figo na maini
Mjifariji kwa kusema Kufa ni kufa
Mnamuona Dr Janabi ni Punguani hajui starehe anapowapa ushauri
Poa mkuuHuyo mlevi na chapombe ulevi umeigharimu afya yake
Endeleeni kunywa na kujishindilia mi bia na miAlcohol kupitiliza kwa makusudi muue figo na maini
Mjifariji kwa kusema Kufa ni kufa
Mnamuona Dr Janabi ni Punguani hajui starehe anapowapa ushauri
Watanzania wana Maisha mafupi sana !Mtangazaji Gardiner G Habashi amefariki Leo hospitali ya Muhimbili.
View attachment 2968917
Tunaoijua vyema hiyo Ofisi yao na kinachowakumba hasa tokea wakiwa kule Kitega Uchumi wala hatushangazwi na Vifo vya hawa Watajwa wako watatu. Tujitahidi sana Kuutumia huu Umaarufu wetu vizuri na ikiwezekana Watu wajitahidi Kuukataa kwani una Athari zake nyingi sana.Poleni wote mlioguswa na Msiba huu
Kuna mdau humu alitabiri kuhusu hili mara baada ya Kifo cha Ruge, then Efrahim Kibonde wakasema anayefuata atakuwa Gardner G. Habashi
Angekuwa Mkuu GENTAMYCINE angesema kuhusu wale wadudu wa Uganda
Pumzika Kwa amani Le Captain 😭
Utakua tuu,Maisha hayana huruma hata kidogo sababu sisi tunapita.Namuonea huruma binti yake
Mimi naogopa mtu wangu wa karibu kufa😒 yaani inakua ndo humuoni tena?😭
Mfano wa kifo ni kama mpo darasani wanafunzi , mnapiga kelele mwalimu kaja na fimbo akasema anapiga darasa zima .Namuonea huruma binti yake
Mimi naogopa mtu wangu wa karibu kufa😒 yaani inakua ndo humuoni tena?😭
Uzuri ni kuwa hata ukiogopa chenyewe hakijali. Ukishazaliwa, suala la kuogopa kufa ni sawa na binti bikra aliyekubali kuolewa, harusi tayari, kaingia ndani, nguo keshavua ila anaogopa.Kifo hakipaswi kuogopewa hata kidgo ,ni kupoteza mda kuogopa kufa .
AfanuaUndulating pavement Zinamaliza vijana pumzika kwa aman G
Ameongea kwa kujipa matumaini!!Umeongea kwa kukata tamaa kaka mkubwa 😁
Do you wanta a beer???R. I .P CAPTAIN. Msalimie sana FM Kibonde.
In heaven there is no Beer, That why we drinking here. We you go from Here, Your friend we'll drink your Beer.🍺🍺🍺🍻
Ila mkuu dini inamchango mkubwa sana , kujengea watu hofu kubwa mno ya kifo.Uzuri ni kuwa hata ukiogopa chenyewe hakijali. Ukishazaliwa, suala la kuogopa kufa ni sawa na binti bikra aliyekubali kuolewa, harusi tayari, kaingia ndani, nguo keshavua ila anaogopa.
Kweli Kingereza wacheni tu kiitwe English!R. I .P CAPTAIN. Msalimie sana FM Kibonde.
In heaven there is no Beer, That why we drinking here. We you go from Here, Your friend we'll drink your Beer.🍺🍺🍺🍻
Namuonea huruma binti yake
Mimi naogopa mtu wangu wa karibu kufa😒 yaani inakua ndo humuoni tena?😭
Mimi ndiyo maana (sisemi sitakufa) nimeamua rasmi ule muda wangu wa ziada niwe nafanya mazoezi ya kukimbia na kutembea na kula chakula na familia yangu tu.Loh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wazima
Duh Lady Jay Dee Si ataumia sana!Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu