TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

Huyo mlevi na chapombe ulevi umeigharimu afya yake

Endeleeni kunywa na kujishindilia mi bia na miAlcohol kupitiliza kwa makusudi muue figo na maini

Mjifariji kwa kusema Kufa ni kufa

Mnamuona Dr Janabi ni Punguani hajui starehe anapowapa ushauri
Janabi na mahubiri yake yoote Yale Kuna siku atalamba ardhi! Na hata yeye hajui atakufa kwa lipi!
Figo zinakufa kwa sababu nyingi sana, wala Sio pombe tu, chumvi kwa mfano inajua figo, Ni nani hatumii chumvi,
 
Huyo mlevi na chapombe ulevi umeigharimu afya yake

Endeleeni kunywa na kujishindilia mi bia na miAlcohol kupitiliza kwa makusudi muue figo na maini

Mjifariji kwa kusema Kufa ni kufa

Mnamuona Dr Janabi ni Punguani hajui starehe anapowapa ushauri
Poa mkuu

Wewe utaishi milele

Hongera sana kwa kuhukumu wazima na wafu
 
Tunaoijua vyema hiyo Ofisi yao na kinachowakumba hasa tokea wakiwa kule Kitega Uchumi wala hatushangazwi na Vifo vya hawa Watajwa wako watatu. Tujitahidi sana Kuutumia huu Umaarufu wetu vizuri na ikiwezekana Watu wajitahidi Kuukataa kwani una Athari zake nyingi sana.

Ngoja nitafute nyimbo za Wakongo hasa zile ambazo Gitaa la Solo limepigwa na Mwamba Dally Kimoko niburudike zangu.
 
Namuonea huruma binti yake
Mimi naogopa mtu wangu wa karibu kufa😒 yaani inakua ndo humuoni tena?😭
Mfano wa kifo ni kama mpo darasani wanafunzi , mnapiga kelele mwalimu kaja na fimbo akasema anapiga darasa zima .

Anaanza mwanafunzi wa kwanza kuchapwa alafu wewe wa huko dawati la mwisho unatetemeka na kuogopa wakati kama ni kuchapwa utachapwa tu .
 
Loh! RIP. This kind of lifestyle is so problematic. Pombe, nyama, magari, starehe, vitakula vichwa vingi sana vya vijana/watu wazima
Mimi ndiyo maana (sisemi sitakufa) nimeamua rasmi ule muda wangu wa ziada niwe nafanya mazoezi ya kukimbia na kutembea na kula chakula na familia yangu tu.

Ni program nimeianza hii wiki ya pili imani yangu Mungu atanisaidia,lakini ukweli usemwe tunaoishi mijini kuna maisha fulani ya kizembe sana tunayaishi ambayo ukitafakari kwa kina ndiyo yanayotumaliza,vijijini case za moyo huzisikii kwa vijana au rika la kati hizi ni kwa wazee na tena ni chache mno
 
Duh Lady Jay Dee Si ataumia sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…