The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
mtu kama alimzalilisha mwenzake asemwe hata kama kafariki ili tunaobaki tujifunze. Sasa maneno gani hayo alikosea sana. Hii tabia ya mtu akifa wanampamba mimi huwa ninashangaa Sana unafikri ww binadamu Hawa wa kitanzaniaKuna siku kipindi kile ndiyo wame achana tuu kuna clip moja akiwa stejini akasema hiyo kauli kwamba eti ame mkojolesha sana JIDE.
Dah!! Nili mdharau sana aisee, nilimuona mtu wa ajabu. Watu mme achana achaneni kistaarabu siyo kutoleana siri.
All in all YAMEPITA NA KWA SASA APUMZIKE KWA AMANI.
Kila kitu kwa kiasi mkuu, ulafi ndio unatumaliza kama unavyosema.Tuendelee tu mkuu bia haina tatzo tatizo ni sisi na ulafi wetu.
Unamkosoa mwenzio na wewe umechochora.. sio Mchechu..Muchacho kama unamaanisha huyo mwarabu.mchechu ni mwarabu Koko shabiki wa simba fc na mwalishi wa kidedea huyo unaemzungumzia ni peter msechu Kwa taarifa mda huu wako wanafanya mixing kuongeza vionjo kwenye nyimbo ya kumuaga ndugu yetu .
G Bantu na ni vyombo kwa sana.G Bantu kabaki mpweke sana kama Gardner alivyoachwa na Kibonde..dah maisha ya dunia ni mafupi sana..
REST IN PEACE 😭😭Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
Ukifa nje ya wokovu hakika mauti itameza bila kushiba.Kufa ni kristo, kuishi ni faida..
Jide sasa Mjane rasmi
Point ya jamaa hapo ni kwamba watu tunakosa muamko wa kufanya mazoezi hata yale ya kawaida ya kutembea kutoka hapa kwenda pale kwa sababu ya usafiri kuwa rahisi au mafanikio ya kimaisha ukienda vijijini huko huwezi kukuta mtu anakufa na magonjwa ya moyo ktk umri huo labda kama alizaliwa nao au alirithi.Kwenye magari inakuaje mkuu
RipR. I .P CAPTAIN. Msalimie sana FM Kibonde.
In heaven there is no Beer, That why we drinking here. We you go from Here, Your friend we'll drink your Beer.🍺🍺🍺🍻
Wameupiga mwingi 😊 (Bata batani) pumzika kwa amani G umeumaliza mwendo..Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
Figo inaondoa sana vijana siku hiziNi yaleyale maswala ya figo? Maana ndio ugonjwa unaotamba
Bible imefanyiwa update?Kufa ni kristo, kuishi ni faida..
Jide sasa Mjane rasmi
Miaka 100 inatoshaKwaiyo nyie walokole wenye vidole mtaishi miaka mingapi kwamfano?
Maskini [emoji22]Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
AhsantePole
Morning
Walevi acheni kulia liaPoa mkuu
Wewe utaishi milele
Hongera sana kwa kuhukumu wazima na wafu
Mimi tena?😂
Nakuombea maisha marefu hata hivyo