Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Alisema baada ya kuimbwa sanaNa yeye Gadna alimchamba sana x wake, kumkojolesha sana sio kauli nzuri kwa mwenza wako hata kama mmliachana kwa mabaya
Yey
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema baada ya kuimbwa sanaNa yeye Gadna alimchamba sana x wake, kumkojolesha sana sio kauli nzuri kwa mwenza wako hata kama mmliachana kwa mabaya
Yey
Upo sawa ila mazoezi si kwa ajili ya kuishi muda mrefu maana wapo wanaofia mazoezini, mazoezi ni kwa ajili ya kukufanya usisumbuke ukiwa hai. Unene ni usumbufu. Unataka kufunga kamba za viatu unapata usumbufu sababu umenenepeana.Point ya jamaa hapo ni kwamba watu tunakosa muamko wa kufanya mazoezi hata yale ya kawaida ya kutembea kutoka hapa kwenda pale kwa sababu ya usafiri kuwa rahisi au mafanikio ya kimaisha ukienda vijijini huko huwezi kukuta mtu anakufa na magonjwa ya moyo ktk umri huo labda kama alizaliwa nao au alirithi.
Yupo mtu leo kijana aged 36 toka ameamka asubuhi mpaka jioni hatembei hatua mia (100) kwa sababu akitoka ndani kwake anaingia kwenye gari yake anaendesha akifika kituo chake cha kazi anapanda ghorofa ya pili anakaa kwenye kiti na computer yake akitoka hapo jioni anapita bar anakula nyama choma na bia zake za kutosha akimaliza anarudi kwake kulala ananenepeana hovyo na hiyo ndiyo ratiba yake mwaka mzima.
Ni mtihani sana
Kwa hiyo Komando akamegwa na mtu bee? Ama sijaelewa huku uswahilini tunaita mtungo huko kwenu wakiwa komandoo wawili mnaita threesome!Wakalala chumba kimoja na Ruge huko South Africa kama sikosei kisha wakasema nothing happened
Unatutegea ulipaji kodi mkuu bora useme rasmi Leo naanza kuwa mnafki , mnywa soda wewe.Leo RASMI naacha unywaji wa POMBE [emoji122] R.I.P
Sasa G ni kijanaUndulating pavement Zinamaliza vijana pumzika kwa aman G
Umejuaje mkuu😅Na ngoma imechangia. RIP G wangu
Omba mungu.....Na ngoma imechangia. RIP G wangu
Ila mpaka anafikia kuongea hivyo alikuwa ammeshiasimangwa sana na yule bibieKuna show Moja Ilikuwa Ya clouds Miaka kidogo nyuma Imepita Baada ya Jide kutoa Ndi ndi ndi..
Gadna akachukua Kipaza akasema nanukuu
"Mwambie huyo Mimi Ni mwanaume Hata hivyo nimeishi Naye miaka Mingi sana Na Nishamkojoza sana Kwahyo wala hanisumbui:"
But all in All Marehemu Hasemwi R.I.E.P Captain 🫡🫡
Hapana ni Peter MsechuHivi ni huyu alihojiana na Janabi akamwambia huo mwili siyo mzuri
Ilimuhusu nani ?Yahaya Ile ,ilimuhus yee punguzeni kubuni
[emoji1787][emoji1787]Unatutegea ulipaji kodi mkuu bora useme rasmi Lao naanza kuwa mnafki , mnywa soda wewe.
Kila la kheri mkuuMiaka 100 inatosha
Kumbe alikuwa mnywaji eeeh?R.I.P kampuni za pombe zimepata hasara kwa kupoteza mteja muhimu kwenye hiyo tasnia
Namjua vyediUmejuaje mkuu😅
Malizia usiogopeOmba mungu.....