Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gadna akiwa Efm nyimbo ya Ndi ndi ndi ilikuwa bado haijatoka
Kitu gani Gadner kaongea? sisi wengine huwa hatufuatilii kabisa mambo ya chumbaniSafi sana. Binafsi sikuipenda ile kauli ya Gardner.
Anaongea hivyo kama nani? Je anafahamu ugomvi uliopo baina ya Gadner na Jay Dee? Kwa nini anapenda kuingilia mambo ya chumbani? Je mbona hatoi rai kama hiyo kwa EFM ambao kila uchwao wanashirikiana na Lady Jay DEE kumnanga Gadner na Clouds?
Kitu gani Gadner kaongea? sisi wengine huwa hatufuatilii kabisa mambo ya chumbani
Sasa mambo ya chumbani pale viwanjani yalifuata nini?Anaongea hivyo kama nani? Je anafahamu ugomvi uliopo baina ya Gadner na Jay Dee? Kwa nini anapenda kuingilia mambo ya chumbani? Je mbona hatoi rai kama hiyo kwa EFM ambao kila uchwao wanashirikiana na Lady Jay DEE kumnanga Gadner na Clouds?
Gadnaer kachemsha sana, lakini anaweza akabisha kuomba radhi kwamba hajamkosea kitu Jide, je Kingwangwala anaweza kuthibitisha ayasemayo dhidi ya Gadner?Huyu ni naibu waziri wa afya, wanawake, jinsia na watoto.
BINAFSI NILISHAACHA KUSIKILIZA HIYO RADIOKitu gani Gadner kaongea? sisi wengine huwa hatufuatilii kabisa mambo ya chumbani
Chama Cha MajunguSiyo clouds pekee yao tu sema ma ccm wanaendeea kuchanganyikiwa
Mimi nimemsikia Gardner akisema hababaishwi na yule mtoto wa kike... amemkojoza kwa miaka kumi..... lakini mpaka mwisho hakumtaja mtuKwani clouds +Gardner walifanyaje?
Hapo ndipo mtoa uzi alipokosea. Alipaswa kwanza kutuambia hao clouds na gadeni wamefanya nini mpaka kigwa akawataka wamwombe radhi jei di.Kwani clouds +Gardner walifanyaje?
Mkuu inamaana umeandika hayo yote bila kujua kaongea kitu gani! Dah, we ni noma.
Sasa huyo ledi jei dii kaingiaje hapo wakati hakutajwa? Watoto si wako wengi jamani?Mimi nimemsikia Gardner akisema hababaishwi na yule mtoto wa kike... amemkojoza kwa miaka kumi..... lakini mpaka mwisho hakumtaja mtu