Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 356
Alie achwa nani!?!! Yahaya ni nani kati ya hao wawili? Nani asie kua hata na makazi mpaka muda huu? Nani kasitiriwa na gari asiumbuke mjini. Kuwa mwanaume sio kukojolesha tu.... Kutafuta mkwanja ni sifa ya kwanza... Sijui mchaga gani mshamba hivi.
Kwani Gadner ni mchaga? si mtu wa Tanga huyu......alipokuwa kimya kwa muda mrefu .... alionekana mtu mwenye hekima na busara....Wanasemaga Everybody is wise untill they open their mouth.
Buswelu.