Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

-PAXP-deijE.gif

Yan kwangu avatar za watu hazionekan, pm hainekan, sehemu ya like haionekan, huo upande uliosema wapo mods siwaoni, Picha hazifunguki, Yan Ni balaa Boss, embu nisaidie Mkuu
Ukifungua ukurasa kama unataka kuandika kitu chochote hizo icon ndipo utaziona. Avator hilo litakuwa tatizo la kifaa unachotumia kwa kuwa mimi na pia natumai wenzangu wengine tunaiona, kwa upande wa private message (pm) inapatikana kwenye rula pameandikwa 'inbox' ukigonga patafunguka na utaipata hiyo pm.
Wakati ukifungua ukurasa kama hivi ukiscroll kwenda juu upande wa kulia, utawaona moderators. Kutofunguka kwa picha nayo ni tatizo la kifaa.
 
-PAXP-deijE.gif


Ukifungua ukurasa kama unataka kuandika kitu chochote hizo icon ndipo utaziona. Avator hilo litakuwa tatizo la kifaa unachotumia kwa kuwa mimi na pia natumai wenzangu wengine tunaiona, kwa upande wa private message (pm) inapatikana kwenye rula pameandikwa 'inbox' ukigonga patafunguka na utaipata hiyo pm.
Wakati ukifungua ukurasa kama hivi ukiscroll kwenda juu upande wa kulia, utawaona moderators. Kutofunguka kwa picha nayo ni tatizo la kifaa.
Natumia Nokia Lumia 920,mkuu sasa hiyo rula yenyewe siioni hata huo upande wa kulia hai mods wenyewe hawaonekani Yan Ni mambo mengi Sana kwenye Hili jukwaa nakosa hadi nimekonda
 
-PAXP-deijE.gif


Ukifungua ukurasa kama unataka kuandika kitu chochote hizo icon ndipo utaziona. Avator hilo litakuwa tatizo la kifaa unachotumia kwa kuwa mimi na pia natumai wenzangu wengine tunaiona, kwa upande wa private message (pm) inapatikana kwenye rula pameandikwa 'inbox' ukigonga patafunguka na utaipata hiyo pm.
Wakati ukifungua ukurasa kama hivi ukiscroll kwenda juu upande wa kulia, utawaona moderators. Kutofunguka kwa picha nayo ni tatizo la kifaa.
Je Nikitaka kuscreen short Ili nikuonyeshe nafanyeje, jaman nokonda Mie huku
 
Nimeona hii video facebook. Ameongea kweli maneno haya. Nadhani si busara kwa mwanaume wala mwanamke kutamka siri za mwandani wako hata kama mtaachana.
 
Wewe jide wewe? Acha mdomo umeachwa sasa tulia tuli

Alie achwa nani!?!! Yahaya ni nani kati ya hao wawili? Nani asie kua hata na makazi mpaka muda huu? Nani kasitiriwa na gari asiumbuke mjini. Kuwa mwanaume sio kukojolesha tu.... Kutafuta mkwanja ni sifa ya kwanza... Sijui mchaga gani mshamba hivi.
 
yaan dume zima ndo linajisifia hvyo!! mwanamke anayemtukana ana achievements kibao kwe maisha yake,pia amekojozwa miaka yote kumi na tano wakat wanawake wengne hawajawah kojozwa hata cku moja, yeye anabaki na uyahaya tu hapa town huyu jamaa bhana amna kitu kabisa
kama ye kamkojoza ....
jide kamfanya na[emoji6]e anye kwa miaka 15 maana kamlisha miaka yote io
 
Ni kweli kayasema nimeina video, Lakini kumbuka tangu waachane Jd kaingea mambo machafu sana juu ya Gadna hakuishia hapo kamtungia wimbo jamaa akawa kimya tu, Tuache double standard kwamba Jide ana haki ya kumsema vibaya Gadna na si Gadna kusema lolote.

Unauwakika wimbo wa Ndi ndi ndi kaimbiwa yeye au kunasehemu katajwa? Acha fasihi ifanye kazi yake sisi walaji ndo tunasema hayo kuwa kaimbwa captain
 
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.

"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "

Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.


Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Na yeye amekojozwa miaka 15. Hiyo ni dharau ya kuwadhalilisha wanawake, huwa sitaki kitu hicho. Dharau , mama yake asingelikojozwa na baba yake angelizaliwa. Unapomtukana mtot wa kike ujue unamtukana na mama yako!
 
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.

"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "

Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.


Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
MAKUNDI YA WANAHARAKATI WA KUTETEA HAKI ZA WANAWAKE WAKEMEE HADHARANI UDHALILISHAJI HUU KWA WANAWAKE. HUYU KIJANA ANA ADVOCATE MFUMO DUME. HAFAI KABISA KABISA
 
Ni kweli kayasema nimeina video, Lakini kumbuka tangu waachane Jd kaingea mambo machafu sana juu ya Gadna hakuishia hapo kamtungia wimbo jamaa akawa kimya tu, Tuache double standard kwamba Jide ana haki ya kumsema vibaya Gadna na si Gadna kusema lolote.

Sifa kuu ya Mwanaume aliekamilika ni kuepuka kujibizana ( lugha chafu) na Mwanamke.
 
hawa ndio wanaume wa dar, athari za majando ya mwananyamala hosp.
 
alimkojolea kwa dudu gan? hiko kibamia?? mfyuuu
Sasa wewe nawe una matatizo, unasema G ana kibamia ukiulizwa ulikiona wapi utajibu nini? Maana ile ni sehemu nyeti ya mtu na anayepaswa kuiona ni yeye mwenyewe au pengine daktari na mwenza wake anayefanya nae kale kamchezo,na pia unapaswa utambue kwamba kumkojoza mtu si lazima uwe na mboo kuubwa au uingize kwenye dudu ndo mtu akojoe,kuna namna nyingi za kumridhisha mwenza wako,kwa mfano mimi blowjob tu ntakujazia kikombe,halafu mnapokua na wenza wenu jaribuni kuwa na foreplay kwanza sio mkifika tu haya kaa vizuri, sijui geukia huku sasa mbona unaelekea huko, ndo maana vijana hamdumu na wenza wenu halafu mkiachana mnaanza kutoleana siri za ndani unapaswa kujua sex is the art kijana.
 
Hahahahaaaa..... Jide kweli ni kipenzi cha watu.... Baada ya matamshi ya Yahaya kuzagaa.. Watu wakamuwahi Yahaya huko huko kwenye page yake kwanza wakamlowesha matusi balaa.... Kijana eti nae jana aka post picha ya mama... Ku wish watu mama's day... Hapo ndo kama kawachokoza... Nahisi hata barabarani huyu sijui kama watamuacha.
 
aisee sijapenda majibu aliyoyajibu gadna yaelekea ana bifu na mwenzake huwezi kujibu hivyo mbele ya hadhira
kama umeachana nae si uongee kistaarabu kuliko kujifanya kidume wakati umeshadatika
ukamuacha mkeo ukadhani ndo furaha kwako sasa unajuta gadna una jpya
 
Ni kweli ana uhakika alimkojoza? Inawezakuwa yeye ndio alikojozwa tu mwenzake akaridhika kukojoa kwa bwana.
 
Back
Top Bottom