mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Mimi nimemsikia Gardner akisema hababaishwi na yule mtoto wa kike... amemkojoza kwa miaka kumi..... lakini mpaka mwisho hakumtaja mtu
Daah yamekua ndo mambo ya hovyo hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimemsikia Gardner akisema hababaishwi na yule mtoto wa kike... amemkojoza kwa miaka kumi..... lakini mpaka mwisho hakumtaja mtu
Apo chacha!!! Kwanza ana uhakika gani kuwa alikuwa anafanikiwa kweli kumkojoza bana? Mwanaume timamu kamwe hawezi kujisifia kwa maswala ya ngono tena kwa uropokaji huo!Hajitambui , alitaka mke wake akojozwe na nani kama sio yeye. Mxiuuuuuuu
walikojozana kwa muda miaka 15 wakaachanaKwani clouds +Gardner walifanyaje?
Vijembe awaachie wanawake. Jide akimpiga vijembe sitashangaa sana. Lakini mwanaume halisi kabisa vijembe havipendezi, ni kujidhalilisha sana. Mwanaume anapiga vijembe kwa vitendo na si kwa maneno!Apo chacha!!! Kwanza ana uhakika gani kuwa alikuwa anafanikiwa kweli kumkojoza bana? Mwanaume timamu kamwe hawezi kujisifia kwa maswala ya ngono tena kwa uropokaji huo!
Hahaha daah umeona ukubwa wa akili yake
Mwisho wake kachemka na kubakia kufunga mageti ya ofisi tuWaziri huyu alifanya ziara ya kushitukiza kwa docta mwaka, ana mambo huyu.
Gardner ni msanii?Basata ngoja tuone your reaction
Nipo kamanda miangaiko ilinibana siwajua sie kuingia humu ni hiari zetu hatuna posho km mtaa Wa pili japo nao wanapumulia mashineMkuu naona umepotea karibu sana tulisongeshe!
View attachment 345944
Hivi ndivyo Naibu Waziri wa Afya Ndugu Kigwangala alivyotamka kupitia Twitter.
Hii imekuja baada ya Gadna akiwa kwenye jukwaa la Miss TIA kutamka kwamba " sina ugomvi na yule bidada ( Jaydee), nimemkojoza kwa miaka kama kumi na tano hivi " .
MSHAMBA HUYOUkibarikiwa kuwa na kipaji cha kuficha ujinga ni jambo la kumshukuru Mungu, sio kila MTU anacho. Hayo maneno yanaonyesha anaugomvi nae.
wewe jamaa kweli una tatizo la kukurupuka ..Kitu gani Gadner kaongea? sisi wengine huwa hatufuatilii kabisa mambo ya chumbani