Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Watu wamepaniki kweli umu ndani kusikia Commando amekojozwa kwa miaka 15 [emoji23][emoji23] mwambieni dada yenu aache ujeuri hapa juzi kasema yeye ndio kamuacha Gadna mkashangilia kweli ila kwa kua ndio ukweli G kapiga kimya leo G kasema ukweli kua Anaconda kakojozwa povu linawatoka,vumilieni ndio haki ilivyo hata kama inauma kausheni mbona Jide kashfa anazitoa kwenye media pia.

Alafu watu wamekomaa kua Gadna mariooo ila wanasahau jamaa ana kazi yake na kipato chake hata kabla hawajaoana na Jide alafu mkumbuke Gadna kafanya kazi na Jide kama familia kuendesha band nk na jamaa alijitoa kafara clouds fm ili awe upande wa mkewe.

Jide ni mwanamke ambae ana matatizo sana acha anyooshwe kila siku analalama yeye kuonewa,kaja na kisu kamkuta Gadna na Shoka haaaaa haaaa simple and clear Komando KAKOJOZWA miaka 15 asante captain kwa kumtuliza ukae kimya wakati unasimangwa akirudi rusha jiwe lingine.

Ndio maana Limariooo lako limeshushwa mirembee.. chezea commando Jide.. mwanaume kama binti..anaboa huyo G
 
Gadner alikuwa kupe kwa jide wala si mume.
na jide anaye a some kuwa kulazimisha penzi malipo ndo hayo!
 
Kwenye hicho kituo cha habari nadhani wenye nidhamu hawazidi mmoja na nusu.........
 
Inawezekana ni video ya kipindi Gadna akiwa EFM, ni muhimu kujua kama ni kweli kwa sababu katika hali ya kawaida mwanaume kuja na hiyo kauli lazima tujihakikishie kabla hatujatoa maamuzi ya either kumtoa kwenye chama au kubaki.

Hiyo ni kauli dhalilishi kwetu wanaume na kwa wanawake pia.
Hivi umeisikiliza kweli?
 
991cf9fb7f42d1f79271dafa3e942962.jpg
Haya tamko limeshatoka
Huyu anakurupuka sana..siku moja atakuja kuingilia hadi magomvi ya team wema na diamond [emoji53]
 
Napenda kumshauri Kigwangala kwamba wale waliotukanwa na Mbunge wa Ulanga aka Mtoto wa Marehemu Kombani walikuwa jinsia gani??Kama ulishindwa kutetea wale basi hata huyu huna mandate ya kutetea ufunge kinywa chako tuache wanawake tujitetee wenyewe. Huna Mandate wala moral authority ya kumuita Balozi wa wanawake wakati wabunge wa upinzani wakidhalilishwa ulichekelea na kupiga meza Kwa nguvu zote.

Kuna wengine hatupendi unafiki.Acha unafiki Kigwangala aliyekupa huo ubalozi nani??
 
Kauli hyo angeongea mtu ambae hana uzoefu,everybody knows kuwa alikuwa mke wake so lazima washiriki tendo kulikuwa na haja gani ya kuzungumza tena public,kuna maceleb wetu kupewa elimu ya kuwa na privacy ya maisha yao,sio kila kitu kuweka kwenye social network au kukizungumza,watu wako interested na kazi yake sio maisha yake,
Jamaa kachemsha! In fact katokotesha. Nimesikiliza ile clip nimeshindwa kuamini; Unless he was "under the influence" of some sort. Kama nia yake ilikuwa ni kumdhalilisha Jide, imekula kwake
 
Back
Top Bottom