Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

mmh ila kwa hili neno jide alipo huko??sasa hapo asipotumia akili akakaa kimya!kuna hatari Yale ya ndani yakaekwa hadharani,plz jide usijibu hilo tusi, plz
 
Mnazidi kusahau bunge live Mara chura sukari sasa hivi kukojoza
 
Hamjui JD alimtungia nyimbo kibao kumhusu huyu jamaa?
 
Jamaa nilimuona wa maana kumbe poyoyo. kalishwa miaka yote na lady jdee, kweli shukrani ya punda ni mateke. ametudharaurisha wanaume wote, shenzi type gadner akili ndogo kama za nyumbu. watu tumesha achana na wanawake tena very pontential na tulikuwa wapole na kuendelea kuwaheshimu na wengine tunawakomalia mechi za kando tunapewa
Hapo kwenye rangi nyekundu. Una uhakika gani?
 
Jamani hili sijui ndio ban au vipi nisaidie wajuzi wa mambo siwezi kutuma chochote naweza kukoment tuu na hili tatizo linawiki mbili
 
mmh ila kwa hili neno jide alipo huko??sasa hapo asipotumia akili akakaa kimya!kuna hatari Yale ya ndani yakaekwa hadharani,plz jide usijibu hilo tusi, plz
Hichi ndio kitakuwa kipimo cha ukomavu wa Jide!! Atajibu kwa kupanic au atawekeza nguvu zake kwenye show yake ya Mlimani City!!
 
Jamani hili sijui ndio ban au vipi nisaidie wajuzi wa mambo siwezi kutuma chochote naweza kukoment tuu na hili tatizo linawiki mbili
Pole mkuu! Ulitusua nini mpaka uhisi una-ban?
 
Teh teh pamoja na ukomando wote kumbe .... Kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai
 
Hichi ndio kitakuwa kipimo cha ukomavu wa Jide!! Atajibu kwa kupanic au atawekeza nguvu zake kwenye show yake ya Mlimani City!!
jide hana ukomavu, mtu wa hasira na chuki, jide kama mnakumbua vizuri yeye ndio alianza hii vita ya kumdiss ex wake, mwanamke mwenye busara au mwanaume hawezi kwenda kungea public kila mara mambo ya kwenye uhusiano wake uliopita
 
Yaaan nimeani Jide huku kosea kuomba talaka, sio kwa mume km hy, umlishe umvishe, gari umpe, na viserenget atafute, pesa ya pombe achukue, na bado matusi , juuui?!!! Kwanza alikuzeeeesha, unaona unavyovutia na kunawir sasa!!!!?
 
Ah ah ah,naona alieitwa chiz katoka milembe na degree..dongo moja chaliii..
Wa tz n wa2 wanafik xna...
Vaa viatu vya gardner mtaelewa y alsema vle...ndo ndo ndo[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Lady Jay Dee aliamua kuanika maisha yake ya ndoa hadharani anachofanya Gadner ni kujazilizia nyama tu.

Tunasubiri atuambie ni kwanini huyo mwanamke miaka 15 hajawahi hata kulamba ndimu achilia mbali kusikia kichefuchefu
 
Back
Top Bottom