MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,788
- 3,126
ha ha ha. Mipasho ya "fumbo mfumbie mjinga"Wadau wala msipanic,JD si mtaalam wa mipasho?ata mshukia huyo bwege hadi ataomba poo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha. Mipasho ya "fumbo mfumbie mjinga"Wadau wala msipanic,JD si mtaalam wa mipasho?ata mshukia huyo bwege hadi ataomba poo
ha ha ha. UUuuuuuwi! Lol!jide ajitokeze aseme jamaa alikua anajamba akikaribia kupiga bao
Hutaki sasa?kwa jide,tutaambiwa alikuwa na mautundu ya kiwango gani,subiri.ha ha ha. Mipasho ya "fumbo mfumbie mjinga"
Hapana aisee. Kojoza= kumfanya akojoeLinatokana na neno kojoa....=kojoza =mara nyingi
Hivyo basi..yeye amemkojoza mara kadhaa...ikiwa na maana kwamba kuna kitendo hufanyika ili yeye apate...kukojoa.....eeeh mmmh na tukienda mbaali zaidi...si mkojo huu unaoufahamu....ni mkojo wa wa watu wazima.....
N.N na wewe usichokoze watu jamani😉. Kwani mpaka kutajwe jina, mbona maswala mengine yako wazi tu mkuu. Yaani kwa mfano Jerry Muro akiamua kuiita timu "fulani" wa matopeni, kutakuwa na haja kweli ya kuuliza anamaanisha timu gani?😛Hivi huyo Gadna kamtaja mtu au ndo watu kujishuku na kushuku tu?
We umenichekesha sana loh...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yan kwangu avatar za watu hazionekan, pm hainekan, sehemu ya like haionekan, huo upande uliosema wapo mods siwaoni, Picha hazifunguki, Yan Ni balaa Boss, embu nisaidie Mkuu
duu hivi vitu bhana Gardner huyu Mario mjini msingi kiuno anasema kamkojolesha jade 15 year
N.N na wewe usichokoze watu jamani😉. Kwani mpaka kutajwe jina, mbona maswala mengine yako wazi tu mkuu. Yaani kwa mfano Jerry Muro akiamua kuiita timu "fulani" wa matopeni, kutakuwa na haja kweli ya kuuliza anamaanisha timu gani?😛
Nia yake ilikuwa ni kumdhalilisha kama yeye alivyodhalilishwa toka ndoa ilivyokufa na nafurahi lengo lake limetimia regardless ya njia aliyotumiaJamaa kachemsha! In fact katokotesha. Nimesikiliza ile clip nimeshindwa kuamini; Unless he was "under the influence" of some sort. Kama nia yake ilikuwa ni kumdhalilisha Jide, imekula kwake
Heheheee naibu waziri anaingilia ndoa za watu naona jipu kwa mbaaaliiii...
Mkuu kama umegoma kuelewa hata kwa mfano niliokupa wacha tuufunge mjadala. Mwenye macho haambiwi tazama....Katajwa mtu au hajatajwa?
Okaaaaay! Umesomeka na kuelewekaNia yake ilikuwa ni kumdhalilisha kama yeye alivyodhalilishwa toka ndoa ilivyokufa na nafurahi lengo lake limetimia regardless ya njia aliyotumia
Si unaona jinsi povu lilivyowatoka sasa kama "mambugila"(mashabiki wake) wamepaniki hivi jiulize huyo jd itakuwaje?
Massage sent regardless....