Nimekwambia tu ukweli yaani we unajifanya hujui maovu ya jide ila ya gadner unayafahamu sana mpaka kufikia hatua ya kumuhukumu kumbe hata hujui ugomvi ulianzaje...Sifa mojawapo ya kupaniki ni kutoka nje ya mada,wewe ndiye wakushauriwa USIPANIKI.
Jamaa mpaka sasa yeye ndio yupo defeated maana mara nyingi mwanamke ndo huwa anazungumza sana indi watu wanapoachana but commando amekuwa kimya muda mrefu na nadhani ataendelea kuwa kimya. Jamaa alishahojiwa na kuonekana kujuta kumwacha mke wake wa kwanzaWatakuwa wamekosea sana wakiutoa maana hii story itakuwa kubwa sana wiki mbili hizi.
Unajua komando hawezi kukubali ipite hivi hivi lazima amjibu kwa mtindo wowote.
Ohoo,vita imeanza.Anaongea hivyo kama nani? Je anafahamu ugomvi uliopo baina ya Gadner na Jay Dee? Kwa nini anapenda kuingilia mambo ya chumbani? Je mbona hatoi rai kama hiyo kwa EFM ambao kila uchwao wanashirikiana na Lady Jay DEE kumnanga Gadner na Clouds?
Naomba bas uwasiliane Na hao mods maana niemeambiwa wanaonekana upande wa kulia wa jukwaa Hili uwajulishe hivo vishida vyangu nilivovitaja basi wanisaidie maana kumbe nimimi Tu ndo sioni hivo vitu ndugu yanguShida yako kiwango ilichofika kikali kwakweli..mana nimecheka mno eti kutokana na kumiss baadhi ya mambo humu majukwaani umekonda sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamaa mpaka sasa yeye ndio yupo defeated maana mara nyingi mwanamke ndo huwa anazungumza sana indi watu wanapoachana but commando amekuwa kimya muda mrefu na nadhani ataendelea kuwa kimya. Jamaa alishahojiwa na kuonekana kujuta kumwacha mke wake wa kwanza
Mwanaume kichwa cha familia, vitu vidogo vidogo unatakiwa upige kimya hata kama vinaumaHivi kwa nini mwanamke akimkashifu mwanaume ni sawa, lakini mwanaume akirudisha mashambulizi anaonekana ana makosa? Mimi naona wote wana makosa...
Gardner hapa Kachemka sana Mkuu."nimemkojoza" sijaelewa hii Lugha..
Naujua sana,ndo maana nimemuomba Jide asijibu.Ila kwa kuwa wewe unajiona mjuaji sana ukadandia tu...baki hivyo hivyo.Nimekwambia tu ukweli yaani we unajifanya hujui maovu ya jide ila ya gadner unayafahamu sana mpaka kufikia hatua ya kumuhukumu kumbe hata hujui ugomvi ulianzaje...
Endelea kuwa ndani ya mada, mimi natoka
Shida ni moja tu. Komando hatujamshangaa kwasababu ni mwanamke. Huyu jamaa ni kidume!Hivi ninyi team komando mlivyokua mkimwaga mboga all this time... mlitegemea hakuna siku jamaa atamwaga ugali.!?
kwamba yeye hana nyama right.?.. mnashangaza.
Hii thread haifai hata kuwa umbea!! [emoji1] [emoji1] [emoji1]Uwiiiiiiii jamani jamani!
Nimejisikia aibu sana,oh!
[emoji25] [emoji85]