Kinachopingwa ni udhalilishaji na si chanzo ni niniHamna kesi hapo..!!
Tujiulize kwanin Gadner alikuwa kimya muda wote Jd akiongelea mambo yao ya Ndoa na kuachana..?! Kwanin kaamua kumjibu vile kwa sasa...?! (Hasira zilizolimbikizwa).
Huenda kosa analo huyu tunaemtetea kuwa amedhalilishwa, mana angekaa kimya kama mwenzake, huenda haya yote yasinge mkuta ..!!
Kweli kabisa...kajidhalilisha yeye mwenyewe kwanza kama mimi mwanamke sitataka kutoka na mwanaume kama huyo.sasa mtaona wanawake wajinga hapa mjini watakuwa wanamtaka kufikiria ana hela hawatajali kama aliongea upuuzi kwa stageMi naona kajidhalilisha yy kuongea mineno hiyo jukwaani wkt Walikuwa wanalala uchi wote
Ndio maana Tundu Lissu amesema hawa mawaziri hawajapewa job description.Dah, aisee. Hii shughuli. Hakuna vitu vya maana vya waziri kuingilia mpaka haya mambo ya wapenzi hawa. Duh!
Watakuwa wamekosea sana wakiutoa maana hii story itakuwa kubwa sana wiki mbili hizi.
Unajua komando hawezi kukubali ipite hivi hivi lazima amjibu kwa mtindo wowote.
Hujui kweli au umetubania?Nnayo video ila sijui event ilihusu nini nimetumiwa watsap.
Ningejua jinsi ya kuiweka fasta mngeipata.
Etiiiiiii?Daah! Yaani bora hata hayo maneno yangemtoka akiwa MC kwenye "Mieleka" na sio kwenye shughuli ya wanawake halafu unatoa maneno ya kuchefue hivyo!!! Na haijalishi kama alimaanisha Jide, mama watoto wake, au yoyote ambae alikuwa na mahusiano nae; alichofanya ni utoto/ushamba wa hali ya juu!!Hii kitu imetokea katika shindano la kumsaka miss TIA(chuo cha uhasibu) tar 6/05 Ijumaa,Gadner akiwa ndio host wa show hiyo
Mbona mnalazimisha maana nyingine, ina maana hamjaelewa..ama ndiyo kujitoa ufahamu...kwani wewe neno kojoza unalielewaje?
Yaani nimesoma comments zote humu lakini sikuona comment nzuri kuipita hii ya kwako! Keep it up maana sin namna ya kukuwekea likes hata mia mojaHivi huyu Kigwagwalah alipewa uwaziri kwa sifa zipi hasa? Ukanda au udaktari wa binadamu? Au uwezo? Too low kwa waziri kudandia hadithi za vijiweni, ndio maana mpaka karne hii nchi inahangaika na mambo ya sukari na si maswala ya sayansi na teknolojia, kama mawaziri wenyewe ndio hawa nampa pole Magufuli hatofanikiwa dhamira yake.