Ugolo una athari kubwa sana[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu maana yake walipokua kwenye ndoa G alikua anamtoa Jide nje kukojoa wakati wa usiku.
Tatizo Gadna ni mlevi sana halafu alikuwa anamdunda kisawasawa akishakuwa kelolo[emoji3]Hivi unaweza kuwa unam "kojoza" mwanamke halafu akuache kirahisirahisi namna ile?
teh teh teh huyu kwel mario maana miaka yote akuna anachofanya zaidi ya kupoteza tu aise
Nilikuwa ninamuon Gadna kama kijana wa kiume shabab kwa kunyamaza kimya wakati Jide akilonga.
Wanaume kwenye shingo zetu tuna 'koromelo' hivyo kwenye matatizo ya mahusiano kama hayo tunapaswa kunyamaa
Sasa hao mababy ni habari ya kweli, tunajua haya mambo muda mrefu, wala hatuhitaji kuyajadili. Tafuta uzi humu utaona wata wanawajadili kina baby.kweli waTz ni wanafki,yule mbunge kasema wabunge wa viti maalum wanaitwa baby ili wapate ubunge watu wamekaa kimya awajasema ni udhalilishaji,ila uyu kasema kamkojoza jidee kwa miaka 15 mnatoa mapovu eti unadhalilishaji.Sijui tulimkosea nini Mungu hadi akatupa hii adhabu ya unafiki
Njia ya muongo fupi.Jukwaa la nini na wandaaji walikuwa kina nani?
Make najua Gadna anafanya kazi clouds, jukwaa lolote la clouds halipigi nyimbo ya Jide
kwa kiyo unatafuta vijana hapa wa kukupa sukari? Kama hulipi huwezi kupata vijana hapa. Kama ni sukari za Magufuli majukwaa yako kibao yanajadili, hebu tambaa Mama, please...uhuh?. naona nimeingia jukwaa la vijana mnisamehe wanangu lakini mnaonaje kuhusu swala la sukari. mi naona igawiwe bure tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ugolo una athari kubwa sana[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Inawezekana ni hiyo pombe..Kwa mara ya kwanza Gadner amechemsha sana kuhandle hii issue.Kosa ni kuongelea jukwaani akiwa amelewa
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.
"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "
Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.
Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
...teh teh teh...hii gahawa umepikia maji ya chooni!Kuna demu alitokea dar akaja mkoani akajidai eti hawez kutembea na mwanaume wa mkoani nami nikakomaa naye baadaye aliingia kwenye line,, nilimpiga pumbu hatariii alilia mpaka nikamshika mdomo alinogewa mpaka alipata mimba na kuzaa dume,, aliniambia akiwa dar alikuwa na uhusiano na wanaume tofauti ila hakuwahi kukojoa lkn baadaye niliamin baada ya yeye kuondoka na kurudi dar lkn akitaka mzigo alikuwa anaupandia new force mpaka mkoan