Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Mkuu maana yake walipokua kwenye ndoa G alikua anamtoa Jide nje kukojoa wakati wa usiku.
Ugolo una athari kubwa sana[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hivi unaweza kuwa unam "kojoza" mwanamke halafu akuache kirahisirahisi namna ile?
 
Hivi unaweza kuwa unam "kojoza" mwanamke halafu akuache kirahisirahisi namna ile?
Tatizo Gadna ni mlevi sana halafu alikuwa anamdunda kisawasawa akishakuwa kelolo[emoji3]
 
Sasa sijui alikuwa anamkojoza saa ngapi wkt muda mwingi anakuwa bwii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kaongea ukweli tu..mi nilikuwa jirani yao kwa kelele zile za nanihii atakuwa alikuwa "akimkojoza" kweli
 
Sasa huyu anamaanisha nini?haa mbona kazi ipo, watatoa siri zote hawa.
 
Nilikuwa ninamuon Gadna kama kijana wa kiume shabab kwa kunyamaza kimya wakati Jide akilonga.
Wanaume kwenye shingo zetu tuna 'koromelo' hivyo kwenye matatizo ya mahusiano kama hayo tunapaswa kunyamaa

Mbaya zaidi hii habari imekuja hapa JF siku ya wamama, katumia maneno ya kudhalilisha sana.
 
Sasa hao mababy ni habari ya kweli, tunajua haya mambo muda mrefu, wala hatuhitaji kuyajadili. Tafuta uzi humu utaona wata wanawajadili kina baby.
 
Mtu akibanwa na mkojo si anaenda chooni kukojoa mwenyewe? kwani ni lazima umsindikize kukojoa?
 
uhuh?. naona nimeingia jukwaa la vijana mnisamehe wanangu lakini mnaonaje kuhusu swala la sukari. mi naona igawiwe bure tu
kwa kiyo unatafuta vijana hapa wa kukupa sukari? Kama hulipi huwezi kupata vijana hapa. Kama ni sukari za Magufuli majukwaa yako kibao yanajadili, hebu tambaa Mama, please...
 
Ugolo una athari kubwa sana[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa mara ya kwanza Gadner amechemsha sana kuhandle hii issue.Kosa ni kuongelea jukwaani akiwa amelewa
 
Kwa mara ya kwanza Gadner amechemsha sana kuhandle hii issue.Kosa ni kuongelea jukwaani akiwa amelewa
Inawezekana ni hiyo pombe..

Ama amepanic baada ya ile scene ya jamaa kuondoka na CD na box la DVD player...

All in all kwa upande wangu naona amechemka pia...Maana katika hali ya kawaida mwanamke 'unayemkojoza' kwa miaka 15 hawezi akakuacha kirahisi na kwa fedheha...Zaidi angetaka kuishi naye maisha na angepambana kuhakikisha anakuwa na anayemkojoza maisha yote...
 

................ Mbona ni dalili tosha za ushamba hata kama umemkojoza sasa kutamka maneno ya kidhalilishaji hadharani ndo nini.......
 
...teh teh teh...hii gahawa umepikia maji ya chooni!
.....washamba bhana!raha sana!
 
Gadna kweli uwezo wake wa kufikiri ni mdogo Lady alisema juzi kuwa yeye ndio kamtua Gadna kwani ni mzigo kama haitoshi wimbo wa Ndi Ndi Ndi anaimbwa Gadna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…