mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
- Thread starter
-
- #141
Hahahahahah hiyo ndio heshima ya ndoa mkuu.. Mkiingia kwenye ndoa mtaelewa vijana.. Usione baba yako anaandaliwa chakula maalum ukafikiri anapendelewa kazi anayoenda kufanya ni kubwa. Kukojoza ni zoezi gumu.Naomba tafsiri iliyo KUNTU kabisa ya neno " amemkojoza " kwani binafsi nimetokea kulipenda ila sijajua tu maana yake.
Umemaliza mkuu, kwani watu hatujui kama walikuwa wanasaidiana kuvuana zile nguo za ndani? Jamani kuna ulazima wa kicheni pati za wanaume. Lasivyo tutaendelea kudhalilishwa anatutia aibu wanaumeAmekosea sana kutamka maneno hayo. Mbona ipo wazi hakuwa na haja ya kusema hayo. Ukimtambulisha mkeo kwa watu hawatakuuliza kuwa unachapa? Kwa sababu neno mke wangu limeshabeba kila kitu.
Alitakiwa akae kimya au ajibu kwa mkato tu sina ugomvi naye.
Sure angemzalisha kama yeye kidume,hana adabu wala
Mi naona kajidhalilisha yy kuongea mineno hiyo jukwaani wkt Walikuwa wanalala uchi woteNimeisikiliza hiyo clip sidhani kama ina udhalilishaji wowote ... Hapo tatizo ni faragha imewekwa bayana ila hakuna udhalilushaji
Jinsia yako ili nikutafsirie?"nimemkojoza" sijaelewa hii Lugha..
Mchaga wa RomboMwanaume mwenye heshima zake anaweza kuongea huo upuuzi kukojoza manake nini?. Yuko kama hajaenda jando huyu jamaaa sijui Kabila gani vile.
Tena bwiiii na mademu anajigjig nao kwenye magari ya Jay dee. Dada wa watu kavumilia mengi sana acha apumzike na sasa hv kapendeza sana.Sasa sijui alikuwa anamkojoza saa ngapi wkt muda mwingi anakuwa bwii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.
"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "
Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.
Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Amemfikisha kibo na mawenzi mwe!"nimemkojoza" sijaelewa hii Lugha..