Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

kweli waTz ni wanafki,yule mbunge kasema wabunge wa viti maalum wanaitwa baby ili wapate ubunge watu wamekaa kimya awajasema ni udhalilishaji,ila uyu kasema kamkojoza jidee kwa miaka 15 mnatoa mapovu eti unadhalilishaji.Sijui tulimkosea nini Mungu hadi akatupa hii adhabu ya unafiki
 
Kumbe Gadner anajua kumkojoza mwanamke? Hongera zake maana wanaume wengi wa Dar hawawezi kumkojoza mwanamke sababu yakula chips mayai na kuku wa kizungu, shame on you wanaume wa Dar
Mbona kama umetoka nje ya mada? Kwani mwanaume wa mkoani asingeweza kutamka haya maneno? Shame goes back to the sender!
 
kweli waTz ni wanafki,yule mbunge kasema wabunge wa viti maalum wanaitwa baby ili wapate ubunge watu wamekaa kimya awajasema ni udhalilishaji,ila uyu kasema kamkojoza jidee kwa miaka 15 mnatoa mapovu eti unadhalilishaji.Sijui tulimkosea nini Mungu hadi akatupa hii adhabu ya unafiki
Ukweli kabisa ndg yng wtz tuko biased sana[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Kwani Gadina hakuelezea kabisa iwapo Jide anajua kukata viuno? Maana anaoneka ana K kavu sana yule bila mate huingii pale[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2]
Wazinzi hamjifichiii [emoji86] !
 
Huyu Gadner Naamini Ni Mvulana Bado Hajawa Mwanaume Kabisa . Hiyo Lugha Gani Ametoa Ambayo Imejaa Ukakasi Na Ujinga Wa Kiwango Cha Juu!!!!
 
Ya Musa na Firauni haya!
Kamkojoza miaka 15 kaondoka na deck tu (Dvd player)ha ha! Alipaswa kujisifia hadharani kweli? Who fools who?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3]
 
Kwa kauli hiyo Inadhihirisha anaugomvi na Mamaa ya ndi ndi ndi
 
Gadna ameonekana kwenye video akiwa jukwaani akitamka hayo maneno baada ya kuulizwa kama ana ugomvi na aliyekuwa mke wake Lady Jaydee.

"Sina ugomvi na yule mtoto wa kike, nimemkojoza kwa miaka 15 "

Kisha Dj akapiga Ze ndi ndi ndi na Gadna kuanza kucheza kwa mbwembwe zote.


Ninayo video ila sijui jinsi ya kuiweka.
Tuma Kwangu.... Nipate umbeya W kuanzisha kesho job
 
Inawezekana ni video ya kipindi Gadna akiwa EFM, ni muhimu kujua kama ni kweli kwa sababu katika hali ya kawaida mwanaume kuja na hiyo kauli lazima tujihakikishie kabla hatujatoa maamuzi ya either kumtoa kwenye chama au kubaki.

Hiyo ni kauli dhalilishi kwetu wanaume na kwa wanawake pia.
Kipindi gadner akiwa Efm sidhani kama wimbo wa ndi ndi ndi ulikuwa umetoka??
 
Video kwanza. ........

Tunaweza kuhukumu kumbe tumeuzwa. .....
 
Kipindi gadner akiwa Efm sidhani kama wimbo wa ndi ndi ndi ulikuwa umetoka??

Wimbo ulikuwa umeshatoka mkuu, ukiangalia You Tube, kuna audio ilikuwa uploaded tar 20 March, wakati huo Gadna alikuwa yuko EFM, Gadna kahamia Clouds April mwanzoni.
 
Back
Top Bottom