Loh pole sana, hizo gari zinafanya vizuri sana sokoni.Hari zenu wana JF,
Kuna gari aina ya IST imeibiwa leo yeyote atakae iona Naomba atupe taarifa simu 065 954 6653
078 495 5561
T. 441 DZD
Kuna zawadi nono kwa atakae fanikisha kupatika
View attachment 3003022View attachment 3003023
Mimi gari yangu ya kwanza nilikuwa nafunga chain nne kama watu wa wrong parking nilijinyima sana kununua gari nikiwa na mshahara wa laki tano takeaway, mpaka nilipoamia kwangu na kuyazoea magari ,sasa ni mwendo wa Gps,camera na alarm kubwa kama ambulance acha nionekane mshamba.Ukimiliki gari Bongo na hasa kama inalala sehemu ambazo siyo salama sana unatakiwa uwe walau na ma-ujanja ujanja. Pale inapolala chimbia chuma kubwa liende chini kabisa na lisionekane kwa juu. Chomea chuma kama komeo lakufunga kufuli na gari uwe unapaki juu ya hilo chuma. Baada ya kupaki ingia uvunguni mwa gari, funga nyororo kwenye lile komeo lishikane na difu ya gari kwa chini. Mwizi akipiga moto na kukanyaga mafuta gari haisogei. Njia nyingine ni kuweka alarm ya kuchimbia chini, ambayo unapaki gari na tairi inakanyaga ile alarm. Mwizi akisogeza gari tu uzito wa tairi ukiondoka una activate ile alarm.
Kaandika kwa speed ni 441Mbona hizi siyo namba zetu
Asee pole mkuu , mwizi ukikuta anapigwa na ukajiridhisha ni mwizi hakuna kumsaidiaHuwa naipaki nje ya nyumba,sasa jana nimerudi home saa 8 usiku nikaingia ndani kulala Asubuhi ile natoka nielekee job sikuikuta
Mimi sitamuacha hai kabisaAsee pole mkuu , mwizi ukikuta anapigwa na ukajiridhisha ni mwizi hakuna kumsaidia
Sawa Mkuu nalifanyia kazi hiloSambazeni kwenye magroup ya Whatsapp itapatikana tu. Pole sana mimi siwezi kupark gari nje kama hamna ulinzi hela imekua ngumu kweli na vijana wamecharuka wanataka kupanda juu ya meza.
Sawa Mkuu Mungu atanifanyia wepesiChuma kinang'aa na kumeremeta pole sana mkuu fanya maombi mazito kwa imani yako wasiichinje tu.
Kabisa Mkuu kuvurugwa hukuKaandika kwa speed ni 441
Pole kiongoziKabisa Mkuu kuvurugwa huku
Hapana mkuu sijaiwekaLoh pole sana, hizo gari zinafanya vizuri sana sokoni.
Uliweka GPS tracking device?
pole sana mkuu vp umekagua vizuri mifuko ya surualiHuwa naipaki nje ya nyumba,sasa jana nimerudi home saa 8 usiku nikaingia ndani kulala Asubuhi ile natoka nielekee job sikuikuta
Ahsante MkuuPole kiongozi
Mwizi awe anakatwa viganja vya mikono na sio kumuua!Asee pole mkuu , mwizi ukikuta anapigwa na ukajiridhisha ni mwizi hakuna kumsaidia
Haya ni maneno ya masikini!pole sana mkuu vp umekagua vizuri mifuko ya suruali
Kijora pambeeHari zenu wana JF,
Kuna gari aina ya IST imeibwa leo, yeyote atakaeiona naomba atupe taarifa simu 065 954 6653
078 495 5561
T. 441 DZD
Kuna zawadi nono kwa atakae fanikisha kupatika
View attachment 3003022View attachment 3003023
Pole brotherHapana mkuu sijaiweka