Gari aina ya IST imeibwa leo. Yeyote atakayeiona naomba atupe taarifa

Mimi gari yangu ya kwanza nilikuwa nafunga chain nne kama watu wa wrong parking nilijinyima sana kununua gari nikiwa na mshahara wa laki tano takeaway, mpaka nilipoamia kwangu na kuyazoea magari ,sasa ni mwendo wa Gps,camera na alarm kubwa kama ambulance acha nionekane mshamba.
 
Sambazeni kwenye magroup ya Whatsapp itapatikana tu. Pole sana mimi siwezi kupark gari nje kama hamna ulinzi hela imekua ngumu kweli na vijana wamecharuka wanataka kupanda juu ya meza.
Sawa Mkuu nalifanyia kazi hilo
 
Waliyokuibia wanakujuwa vizuri tu

Watakuwa

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…