Gari gani ya kwenda Arusha ni nzuri kwa mwendo na kwa muonekano?

Gari gani ya kwenda Arusha ni nzuri kwa mwendo na kwa muonekano?

cacutee

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2024
Posts
1,333
Reaction score
3,512
Wakuu heshima zenu,
Ninaomba kujua usafiri wa kwenda Arusha wa uhakika kwa muda wa usiku kutokea Dar es salaam.

Gari luxury kweli
Gari linalofika kwa wakati
Huduma nzuri (hotel ya chakula kizuri, wahudumu wenye kauli tamu zisizokera, na mengineyo)

Asanteni.
 
Wakuu heshima zenu,
Ninaomba kujua usafiri wa kwenda Arusha wa uhakika kwa muda wa usiku kutokea Dar es salaam.

Gari luxury kweli
Gari linalofika kwa wakati
Huduma nzuri (hotel ya chakula kizuri, wahudumu wenye kauli tamu zisizokera, na mengineyo)

Asanteni.
Esther Luxury Coach linalosafiri usiku kupitia Bagamoyo, Saa 12 asubuhi na mapema mnaingia Chugga, vyakula vya usiku achana navyo hamna uhakika maana vingi linakuwa vimebakia mchana, by the way ukishakula chakula cha Jioni Dar huko njiani unataka Kula nini tena? Labda Juice au Soda
 
Back
Top Bottom