Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kuna wasafiri kafiri wao kila chakula au kinywaji kinachopita usoni pake anataka anunue, hata yale mayai ya juzi atanunua, na akilimenya basi lote ...hapa weka neno lako kwani mimi nimekosa neno.Esther Luxury Coach linalosafiri usiku kupitia Bagamoyo, Saa 12 asubuhi na mapema mnaingia Chugga, vyakula vya usiku achana navyo hamna uhakika maana vingi linakuwa vimebakia mchana, by the way ukishakula chakula cha Jioni Dar huko njiani unataka Kula nini tena? Labda Juice au Soda