M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
2012 hiviMwaka gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2012 hiviMwaka gani?
Wasiliana na Nayce.Wakuu heshima zenu,
Ninaomba kujua usafiri wa kwenda Arusha wa uhakika kwa muda wa usiku kutokea Dar es salaam.
Gari luxury kweli
Gari linalofika kwa wakati
Huduma nzuri (hotel ya chakula kizuri, wahudumu wenye kauli tamu zisizokera, na mengineyo)
Asanteni.
Embu namba zake... 😋Wasiliana na Nayce.
Usije tu ukalogwa ukapanda lile bus lenye jina la mlima mrefu kuliko yote barani afrika..🙌Wakuu heshima zenu,
Ninaomba kujua usafiri wa kwenda Arusha wa uhakika kwa muda wa usiku kutokea Dar es salaam.
Gari luxury kweli
Gari linalofika kwa wakati
Huduma nzuri (hotel ya chakula kizuri, wahudumu wenye kauli tamu zisizokera, na mengineyo)
Asanteni.
Hilo gari huko kaskaz halina mpinzanibm vvip nauli yake 87,000/= hutojutia.
Si niliacha 46k mwaka jana tu jamani..?bm vvip nauli yake 87,000/= hutojutia.
Wewe itakuwa hata Metro hukupanda, hahaSafari yangu ya kwanza kwenda Arusha, tokea dsm
Nilipanda hii gari saa nne ubungo,View attachment 3065544 arusha mjini tuliingia saa nane usiku.
Body ya gari tamu iko bomba, Engine sasa! Dah!
ungesema mapema,Wakuu heshima zenu,
Ninaomba kujua usafiri wa kwenda Arusha wa uhakika kwa muda wa usiku kutokea Dar es salaam.
Gari luxury kweli
Gari linalofika kwa wakati
Huduma nzuri (hotel ya chakula kizuri, wahudumu wenye kauli tamu zisizokera, na mengineyo)
Asanteni.
Tumekoma Mamaa!!,,,Hatucheki tenaa,,Mamaeehh!!Warmly Welcome To Arusha Cacu.Nyie mnaocheka niliposema nna height phobia chekeni sana. Wengine pass Ilishajaa kwa safari za kimataifa. So ndege sio big issue.
Nchi zilizoendelea usafiri wa anga umerahisishwa ili kila mtu aumudu kwa ajili ya kurahisisha movement za watu.
So u heard it
Mmmhh!😡😡😡😡Embu namba zake... 😋
tz wana lugha tamu mbona jaribu kenya uone utajibiwa mbaya sanaTanzania hii kwenye kauli ya wahudumu sehemu yoyote tunascore 0.000
Mhh hata wao wakihudumia wa Africa wanajisahau. Nishawah kugombezwa nahudumu wa KQ nili board kutoka schifol airport to Jomo Kenyatta airport kwa ishu ndogo sanaaaa ambayo haikupaswa ani mind na wala halikuwa kosa. Sema by then nilikuwa kadogo sana na sijajua haki za mtejatz wana lugha tamu mbona jaribu kenya uone utajibiwa mbaya sana
hii ni vvip ni nzuri kuliko ile unayoizungumzia.Si niliacha 46k mwaka jana tu jamani..?
ni kweli tena unaulizwa utakula chakula gani mapema kabisa ukifika pale hotelini unataja namba ya siti tu wanakupatia chakula kama ulivyotoa order yako.Nasikia wanatoa hadi msosi hawa na mpangilio wa seat ni 2×1
kubwa kwenye ndoo?KIDIA ONE. HUTAJUTA
WANATOA MAZIWA YA MOTO, CHAI, MAJI YA MOTO, KAHAWA.
CHOO NDANI KWA NDANI KWA HAJA NDOGO..
Ha ha ha..... Hizi fixNina height phobia
Me ni international flights tu huwa napanda kwa local labda iwe lazima Sanaa. Otherwise hapana