cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,333
- 3,512
- Thread starter
- #21
Assntee sanaEsther Luxury Coach linalosafiri usiku kupitia Bagamoyo, Saa 12 asubuhi na mapema mnaingia Chugga, vyakula vya usiku achana navyo hamna uhakika maana vingi linakuwa vimebakia mchana, by the way ukishakula chakula cha Jioni Dar huko njiani unataka Kula nini tena? Labda Juice au Soda