Gari gani ya kwenda Arusha ni nzuri kwa mwendo na kwa muonekano?

Kuna wasafiri kafiri wao kila chakula au kinywaji kinachopita usoni pake anataka anunue, hata yale mayai ya juzi atanunua, na akilimenya basi lote ...hapa weka neno lako kwani mimi nimekosa neno.
 
Hii gari ❌ Hili gari ✅

Hii basi ❌ Hili basi ✅

Tuendelee kuipenda lugha yetu.
 
Wakuu safari ni kesho
Nimeamua kupanda shabiby
Mniombee nifike safe
 
Hapo kwenye gari toa weka basi.
 
Binti binti! Hicho kiinglish na michosho tunadanganyana kwa kujikweza hapa JF
 
KIDIA ONE. HUTAJUTA

WANATOA MAZIWA YA MOTO, CHAI, MAJI YA MOTO, KAHAWA.

CHOO NDANI KWA NDANI KWA HAJA NDOGO..
Mara ya mwisho kupanda kidia one ilikuwa kati ya 2017 -2019 sitosahau basi lilichemka moshi ukajaa ndani ikabidi tushuke, tulipigwa na mvua nililowa adi mifupa.
 
Binti binti! Hicho kiinglish na michosho tunadanganyana kwa kujikweza hapa JF
Boss nkudanganye nakujua??
Nlichoandika namaanisha. Kajinyonge na big G
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…