Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kuna wasafiri kafiri wao kila chakula au kinywaji kinachopita usoni pake anataka anunue, hata yale mayai ya juzi atanunua, na akilimenya basi lote ...hapa weka neno lako kwani mimi nimekosa neno.Esther Luxury Coach linalosafiri usiku kupitia Bagamoyo, Saa 12 asubuhi na mapema mnaingia Chugga, vyakula vya usiku achana navyo hamna uhakika maana vingi linakuwa vimebakia mchana, by the way ukishakula chakula cha Jioni Dar huko njiani unataka Kula nini tena? Labda Juice au Soda
Kubwa kwenu au stendikubwa kwenye ndoo?
Hapana aise. Vicky Ndosi,kauli nzuri na sauti tamu. Basi tuPanda zozote ila abood wahudumu kauli chafu
Hapo kwenye gari toa weka basi.Wakuu heshima zenu,
Ninaomba kujua usafiri wa kwenda Arusha wa uhakika kwa muda wa usiku kutokea Dar es salaam.
Gari luxury kweli
Gari linalofika kwa wakati
Huduma nzuri (hotel ya chakula kizuri, wahudumu wenye kauli tamu zisizokera, na mengineyo)
Asanteni.
Safari njema mrembo, usisahau kuniletea mapocho pocho ya Arusha shogaanguWakuu safari ni kesho
Nimeamua kupanda shabiby
Mniombee nifike safe
Yapo ya tsh 37,000 wewe tu na roho yako.Kumbe nina muda sijasafiri...nauli ndo iko juu namna hiyo?!
shemeji hajambo?
Binti binti binti Mh!Nina height phobia
Me ni international flights tu huwa napanda kwa local labda iwe lazima Sanaa. Otherwise hapana
Binti binti! Hicho kiinglish na michosho tunadanganyana kwa kujikweza hapa JFNyie mnaocheka niliposema nna height phobia chekeni sana. Wengine pass Ilishajaa kwa safari za kimataifa. So ndege sio big issue.
Nchi zilizoendelea usafiri wa anga umerahisishwa ili kila mtu aumudu kwa ajili ya kurahisisha movement za watu.
So u heard it
yaan mbwembwe zote unakuja kupanda shabibyWakuu safari ni kesho
Nimeamua kupanda shabiby
Mniombee nifike safe
Mara ya mwisho kupanda kidia one ilikuwa kati ya 2017 -2019 sitosahau basi lilichemka moshi ukajaa ndani ikabidi tushuke, tulipigwa na mvua nililowa adi mifupa.KIDIA ONE. HUTAJUTA
WANATOA MAZIWA YA MOTO, CHAI, MAJI YA MOTO, KAHAWA.
CHOO NDANI KWA NDANI KWA HAJA NDOGO..
Binti acha hizo!Boss nkudanganye nakujua??
Nlichoandika namaanisha. Kajinyonge na big G