Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Gari ni usafiri, na mdau ameona ni vema awe na gari kurahisisha usafiri sasa tatizo nini bwana tajiri?Kuwaza kumiliki gari wakati hauna stable income hayo ndiyo mawazo ya kimasikini zaidi na yatakupeleka kwenye ufukara