Gari gani zuri la kuanzia maisha?

Gari gani zuri la kuanzia maisha?

Wakuu habari,

Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.

Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
pia Suzuki carry cha 4 wheel manual , unapokwenda job asubuhi kikitokea kichwa unalamba vivyo hivi unaporudi home. Siku za weekend unakula vichwa tu kijiweni maisha yanasonga. Jitese ujanani ili ukubwani uheshimike.
 
Wakuu habari,

Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.

Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
Kwa mshahara GN?! Hiyo laki 4?!
Mmmh!!
 
laki 4 kwa mwezi ni hardly 4.8M kwa mwaka. Yani mwaka mzima bado hujapata uwezo wa kununua gari....
Au sijui wqnazungumzia gari gani.... Isije ikawa wanazungumzia midoli

Hawa watoto bhana...
Dah, jamaa ana kipato cha 400,000 kwa mwezi chauhakika, ila amemeki amepata kama pesa inayotosheleza kununua gari, aseme ana kiasi gan mkononi, na kama ameweza kumek mpk kununua ina maana kulihudumia ataweza
 
Swali zuri!
Wakati mwingine anaanza maisha na Ford ranger mwingine anaanza na Starlet Glanza, worth mentioning your purchasing power!
 
Wakuu habari,

Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.

Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
Cadillac escalade
 
Wakuu habari,

Naomben ufafanuzi nataman nipate gari la kuanzia maisha nitakalokaa nalo muda mrefu kidogo, ninakoishi kuna milima ya wastani na vumbi la kati.

Je, ni gari gan inanifaa Mim kipato changu ni cha chini kwa mwezi napata laki 4?
Eti Subaru Forester!
 
Sawa mjukuu wangu, ila ametaja kipato chake mimi nimekula chumvi nyingi hivyo nimeshauri kikubwa.
ila kwa zama za sasa tulizonazo gari inaenda kuwa kama basic need kwenye familia kwa sababu kuna dharula nyingi au matukio mengi ambayo ukiwa na usafiri utayafanya ukiwa comfortable.
mimi binafsi bado sina gari naunga unga mwana ila kipindi mvua ikinikuta kwenye mizunguko yangu huwaga natamani hata kulia.
gari pia ukiitunza vizuri inakuwa ni sehemu ya asset kwako
 
ila kwa zama za sasa tulizonazo gari inaenda kuwa kama basic need kwenye familia kwa sababu kuna dharula nyingi au matukio mengi ambayo ukiwa na usafiri utayafanya ukiwa comfortable.
mimi binafsi bado sina gari naunga unga mwana ila kipindi mvua ikinikuta kwenye mizunguko yangu huwaga natamani hata kulia.
gari pia ukiitunza vizuri inakuwa ni sehemu ya asset kwako
Hakika
 
Gari kwa sasa ni moja ya mahitaji muhimu kwa familia hasa umuhimu wake unakuja pale unapopata shida ya ghafla ama muhimu ambayo itahitaji kutoka sehemu moja kwenda nyingine, kikubwa ukiwa na gari na kipato kikawa kidogo jitahidi sana kuepuka matumizi yasiyokua ya lazima kutumia gari binafsi, gari iwe stand by kwa ajili ya safari za muhimu na zile shida z ghafla hasa kwa bei ya buku ya mafuta kwa sasa, ila kama uchumi uko vizuri popote tembea nayo.
 
Mimi nilinunua gari yangu ya kwanza Mkopo...kwa mwezi nilikua nabakiwa na laki mbili.. nilijibudget na watu waliamini nina hela sana...na ile gari ilinifunulia njia za kupambana na high level connection ambazo kama ningeendelea kupanda daladala ningeishia kupiga soga na makonda.... cha kukushahuri kwa kipato hicho chukua toyota na uchukulie yard au agiza yako ikija kuanza kusumbua bado reselling value itakua kubwa na still itaweza kuvuta gari nyingine pia usisahau kuikatia bima ya comprehensive.
 
Nmesoma comments zenu woteeeee mm nilikuwa na kipato kidogoo sanaa ata cha anaeomba ushauri ni kikubwaa ila niliamua kulipuka na kununua gari langu la kwanza tena used 7M kwa mtu ninaemfahamu sio dalali gari Leo n mwaka wa pili sijafilisikaaa Wala kuuza vitu ninavyo viitajii cha msingi endesha mwenyew mbn kwa fundi utaenda kumwaga oil ty mzeee vuta ndinga

NOTE: baad ya kununua gari cha kwanza niliogopeka kutokna na umri wangu mdogo nilikuwa nao pili nilipata kujuana na watu wenye fweza na kunipa connection broo amini usiamini ukiwa mwana Israel utakutana na WAKULU KOYA tu coz amna mtu utamwambia kitu akuamni anakuona mgai gai ty

Ila io 7M ningesema nijengee ningeishia Renta na kuchekwa ty n wanajamiiiii
 
Back
Top Bottom