Gari hii taa 4WD ina maana GANI haitaki kuzima kabisa, sasa inafika mwezi mzima

Gari hii taa 4WD ina maana GANI haitaki kuzima kabisa, sasa inafika mwezi mzima

Mkuu gari yangu imeandikwa 4WD, sasa nimeenda kucheki pale kwenye dash board, haina button ya 2WD lakini ina button ya auto. Nimejaribu kubonyeza hiyo button ya auto ikawaka na nikabonyeza button ya pembeni yake iliyoandikwa off ikazima. Sasa swali langu ni kwamba haiwezi kuwa hiyo button ya auto ikiwaka gari inakuwa kwenye 4WD na ikiwa haijawaka inakuwa kwenye 2WD?
Cjakuelewa
 
Yaani haina button ya 2WD kama ilivyo kwenye picha hapo, ila ina button ya auto..........na gari imeandikwa 4WD.
.
IMG_20211015_080942_131.jpg
 
Habari,
wakuu hii taa 4WD ina maana GANI maana haitaki kuzima kabisa, sasa inafika mwezi mzima nimebonyeza kila batani lakini whapi
Nikiwasha kuvuta tairi zote 4 hiyo taa inazima zinawaka nyingine

ushauri wenu wakubwa [emoji116]View attachment 1974785View attachment 1974787
Hii kitu nmeiona sana kwenye gari za Nissan. ABS ikileta shida taa ya 4WD nayo huwaka Along side taa ya ABS.
 
Tatizo ni hako ka taa tu au kuna jingine? Gari inatembea au haitembei? Service ya oil ya engine na gearbox Mara mwisho ulimwaga lini kwa oili aina gani?

Je kuna system yoyote ya mziki au alarm uliyoongeza fundi kagusa huko kwenye dash bod hivi karibuni kutengeneza chochote?

Hahah Dashboard?

So akijiangalia kwenye kioo akaona ana sura mbaya anavunja kioo?
 
But kabla hujaenda kubadiri,angalia fuse ya brake system,ibadilishe hata Kama inafanya kazi,kingine angalia hapo pembeni ya mlango wako wakuingilia karibu na dashboard chini yake Kama Kuna switch imejiwasha

Fuse ya brake ndio ipi hiyo?

Inahusianaje na hili?

Na kwanini ibadilishwe hata kama inafanya kazi?
 
Back
Top Bottom