CjakuelewaMkuu gari yangu imeandikwa 4WD, sasa nimeenda kucheki pale kwenye dash board, haina button ya 2WD lakini ina button ya auto. Nimejaribu kubonyeza hiyo button ya auto ikawaka na nikabonyeza button ya pembeni yake iliyoandikwa off ikazima. Sasa swali langu ni kwamba haiwezi kuwa hiyo button ya auto ikiwaka gari inakuwa kwenye 4WD na ikiwa haijawaka inakuwa kwenye 2WD?
Yaani haina button ya 2WD kama ilivyo kwenye picha hapo, ila ina button ya auto..........na gari imeandikwa 4WD.Cjakuelewa
Hii kitu nmeiona sana kwenye gari za Nissan. ABS ikileta shida taa ya 4WD nayo huwaka Along side taa ya ABS.Habari,
wakuu hii taa 4WD ina maana GANI maana haitaki kuzima kabisa, sasa inafika mwezi mzima nimebonyeza kila batani lakini whapi
Nikiwasha kuvuta tairi zote 4 hiyo taa inazima zinawaka nyingine
ushauri wenu wakubwa [emoji116]View attachment 1974785View attachment 1974787
Probably 4WD haifanyi kazi kabisa hapooooh sasa mkuu kwahiyo hapo inakuwa inavuta mbele na nyuma ?
Oil unabadili ya gearbox na ya engine kwa pamoja? Acha kuchezea hela mkuu.Yaani service ya engine oil na gearbox oil unafanya kwa pamoja? mimi nadhani oil ya gearbox inatumika kwa muda mrefu zaidi angalau unahitaji kuibadilisha kwenye service ya tatu....
Angalia vizuri gia ya 4wd hajaitoa vizuri au imeng'ang'aniaHabari,
wakuu hii taa 4WD ina maana GANI maana haitaki kuzima kabisa, sasa inafika mwezi mzima nimebonyeza kila batani lakini wapi?
Nikiwasha kuvuta tairi zote 4 hiyo taa inazima zinawaka nyingine
ushauri wenu wakubwa [emoji116]
View attachment 1974785View attachment 1974787
Outo inaonekana kabisa hapo nxugu angalia vizuriGari yako ni zigzag gear au outomatic?
Eti zigzaga[emoji28][emoji28]Nasubiria jibu hapa.
Sory mkuu unamaanisha manu au??[emoji28][emoji28]Gari yako ni zigzag gear au outomatic?
Hakika, mimi namwaga kila mwezi ila oil ya gear nafika mwaka.Unapoteza hela kishenzi jamaa angu.
Nipe ushauri nifanyaje sasa
Tatizo ni hako ka taa tu au kuna jingine? Gari inatembea au haitembei? Service ya oil ya engine na gearbox Mara mwisho ulimwaga lini kwa oili aina gani?
Je kuna system yoyote ya mziki au alarm uliyoongeza fundi kagusa huko kwenye dash bod hivi karibuni kutengeneza chochote?
Yes auto ziko zigzag,straight etc so hakuna cha kuchekesha hapo.Eti zigzaga[emoji28][emoji28]
But kabla hujaenda kubadiri,angalia fuse ya brake system,ibadilishe hata Kama inafanya kazi,kingine angalia hapo pembeni ya mlango wako wakuingilia karibu na dashboard chini yake Kama Kuna switch imejiwasha
Mimi Km 40,000 ndio namwaga mkuu,na ninaweka gearbox oil iliyokua recommended na manufacturer.Hakika, mimi namwaga kila mwezi ila oil ya gear nafika mwaka.
Oili haina hata week tangu nibadili nahuwa nabadili zote kwenye injin na gear bx, kwenye dashboard haijawah kuguswa kitu
Watakua wanatumia hizi za Bei rahisi aisee.Unabadili kwa pamoja.?
Kwenye gearbox unaweza Oil gani?
Maana Bei ya Matic J ATF watu wanalia kila siku kuwa na pasua kichwa