pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Hilo kawaulize askari wa zima motoSababu za nyumb kuungua au moto kutokea ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo kawaulize askari wa zima motoSababu za nyumb kuungua au moto kutokea ni nini?
Wao ndio whanga au mashuhuda?Hilo kawaulize askari wa zima moto
Wana uzembe sana hawa jamaa aiseeZima moto wapo kwenye vibanda umiza wanafatilia simba day
Ni Lori la mafuta, fire wapo tayari na maji yao pale wanazima,Ni kampuni gani jamani, tuanze kuwauliza ndugu zetu madereva kama wapo salama.
Tofauti ya wanaume wa dar na wamikoani ni kubwa jamani. Ona wanaume wa dar wanakimbia tukio wakati wa mikoani wangekimbiliaMliopo maeneo ya Ubungo na Kimara kibo, tupeni update ya hapo maana wengine wanakimbilia hatari.
View attachment 2709879
View attachment 2709890
View attachment 2709906
Ndio Lori la mafuta la kampuni gani?Ni Lori la mafuta, fire wapo tayari na maji yao pale wanazima,
Sijajua kampuni, gari lipo mtaroniNdio Lori la mafuta la kampuni gani?
Hizi ni hujuma za Yanga kufifisha shangwe za Simba DayMliopo maeneo ya Ubungo na Kimara kibo, tupeni update ya hapo maana wengine wanakimbilia hatari.
View attachment 2709879
View attachment 2709890
View attachment 2709906
Wajinga ni wepiTofauti ya wanaume wa dar na wamikoani ni kubwa jamani. Ona wanaume wa dar wanakimbia tukio wakati wa mikoani wangekimbilia
Bima7500/8000/7000/8500/7000 = 38000 x 3199 = 122,000,000 zateketea