sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Shukuru Mungu ni jpili hakuna foleniniko eneo la tukio hali si nzuri lakini nawapongeza jeshi la polisi kwa tupambana kwa bidii ya hali ya juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukuru Mungu ni jpili hakuna foleniniko eneo la tukio hali si nzuri lakini nawapongeza jeshi la polisi kwa tupambana kwa bidii ya hali ya juu
Vituo vya mafuta huwa havilipuki kama hayo madude.Huwa nawaza zile nyumba unakuta ziko karibu na vituo vya mafuta
Kwani hizo gari Huwa haziendi kushusha mafuta paleVituo vya mafuta huwa havilipuki kama hayo madude.
Mwendo wa kinyonga hauwez kusababisha gari kulipukaKwani hizo gari Huwa haziendi kushusha mafuta pale
MUNGU ni mwema kawapa ustadi wa hali ya juu jeshi la uwokoziShukuru Mungu ni jpili hakuna foleni
Mbona hamna SI Unit yoyote ni MAGAZIJUTO ya nini hayo mkuu?7500/8000/7000/8500/7000 = 38000 x 3199 = 122,000,000 zateketea
Aiseee yamekuwa hayo tenaKufa ukiwa unachota mafuta uo ndio uanaume. Sasa wanaume wa dar eti kwenye tukio kaa ilo adi picha wanapiga kwa mbali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
Ahsante sana. Very brilliant explanation. Ahsante sana. Kuna mtu huko juu ametaja idadi kubwa sana ya bodaboda na nyumba kuungua. Inashangaza.Nilikuwepo eneo la tukio hakuna vifo Wala majeruhi (serious injury) ,mali zilizoteketea ni gari yenyewe ya mafuta ,piki piki mbili na vibanda kadhaa vya wafanya biashara gari limeangukia mtaroni kwahy Yale mafuta yamemwagukia kwenye mtaro.
Sababu ya ajali ni uzembe wa deleva alikuwa anawahi asikae kwenye foleni mataa , wakati amekaribia mataa alitaka kuchepuka njia ya pembeni(za kupigia u turn) sasa ni kama aligairi wazo lake la kupita pembeni, akairudisha gari main road .
Kilichotokea gari ikapanda juu ya matuta ya pembeni tire za nyuma zikawa zinaning'ing'a mtaroni sasa kutokana na mzigo mzito alioubeba chuma ndio ikapiga chini.
Ila moto unatisha jaman hiyo sauti yake sio poa kabisa ,hadi fire wenyewe tulikuwa tunashindana nao kukimbia, Kuna mama alikuwa na mtoto mgongon lakini zile mbio kama kalibeba chungwa aliliruka bango kama swala
Yaaan huwa natamanigi hiyo njia yao ikamilike. Sijui hata wamefikia wapi. Containers huwa hawazilock maana wamiliki wanahofia hasara wakilock. Zikichomoka tu chasis inabaki. Ila ikilockiwa inakua hasara kamiliHayo magari mjini yalitakiwa yawe na njia zake huko nje. Au yawe yanajazia huko mbele, Chalinze.
Tena afadhali aisee. Ingekua ndo ile rush hour sijui ingekuajeIngekuwa kwenye foleni ingekuwa balaa kwa magari mengine.
Muongo mkubwa wewe, dereva hakipendi asilock container kwenye kichanja?Yaaan huwa natamanigi hiyo njia yao ikamilike. Sijui hata wamefikia wapi. Containers huwa hawazilock maana wamiliki wanahofia hasara wakilock. Zikichomoka tu chasis inabaki. Ila ikilockiwa inakua hasara kamili
Kwetu sisi huu ni moto mkubwa sana.Mungu atuhifadhi.Kule Ukraine huo ni kama chai tu na inakuwa muda waowote.
We nae una umama. Mbona unakuja na shari? Unakataa nini? Mpumbavu weweMuongo mkubwa wewe, dereva hakipendi asilock container kwenye kichanja?
Rejea ghala la mbolea kule Uturuki aisee ule ndo motoKwetu sisi huu ni moto mkubwa sana.Mungu atuhifadhi.Kule Ukraine huo ni kama chai tu na inakuwa eamuda waowote.
View attachment 2710167
Mama wa miripuko ni ule wa bandarini Lebanon.Huyu jamaa yetu mleta uzi angeondoka nao,Rejea ghala la mbolea kule Uturuki aisee ule ndo moto
Mama wa miripuko ni ule wa bandarini Lebanon.Huyu jamaa yetu mleta uzi angeondoka nao,
Imebidi nicheke [emoji23] Hata kama haichekeshi kaahNilikuwepo eneo la tukio hakuna vifo Wala majeruhi (serious injury) ,mali zilizoteketea ni gari yenyewe ya mafuta ,piki piki mbili na vibanda kadhaa vya wafanya biashara gari limeangukia mtaroni kwahy Yale mafuta yamemwagukia kwenye mtaro.
Sababu ya ajali ni uzembe wa deleva alikuwa anawahi asikae kwenye foleni mataa , wakati amekaribia mataa alitaka kuchepuka njia ya pembeni(za kupigia u turn) sasa ni kama aligairi wazo lake la kupita pembeni, akairudisha gari main road .
Kilichotokea gari ikapanda juu ya matuta ya pembeni tire za nyuma zikawa zinaning'ing'a mtaroni sasa kutokana na mzigo mzito alioubeba chuma ndio ikapiga chini.
Ila moto unatisha jaman hiyo sauti yake sio poa kabisa ,hadi fire wenyewe tulikuwa tunashindana nao kukimbia, Kuna mama alikuwa na mtoto mgongon lakini zile mbio kama kalibeba chungwa aliliruka bango kama swala