Gari la mafuta linawaka moto muda huu maeneo ya Ubungo

Gari la mafuta linawaka moto muda huu maeneo ya Ubungo

Nilikuwepo eneo la tukio hakuna vifo Wala majeruhi (serious injury) ,mali zilizoteketea ni gari yenyewe ya mafuta ,piki piki mbili na vibanda kadhaa vya wafanya biashara gari limeangukia mtaroni kwahy Yale mafuta yamemwagukia kwenye mtaro.

Sababu ya ajali ni uzembe wa deleva alikuwa anawahi asikae kwenye foleni mataa , wakati amekaribia mataa alitaka kuchepuka njia ya pembeni(za kupigia u turn) sasa ni kama aligairi wazo lake la kupita pembeni, akairudisha gari main road .

Kilichotokea gari ikapanda juu ya matuta ya pembeni tire za nyuma zikawa zinaning'ing'a mtaroni sasa kutokana na mzigo mzito alioubeba chuma ndio ikapiga chini.

Ila moto unatisha jaman hiyo sauti yake sio poa kabisa ,hadi fire wenyewe tulikuwa tunashindana nao kukimbia, Kuna mama alikuwa na mtoto mgongon lakini zile mbio kama kalibeba chungwa aliliruka bango kama swala
Ahsante sana. Very brilliant explanation. Ahsante sana. Kuna mtu huko juu ametaja idadi kubwa sana ya bodaboda na nyumba kuungua. Inashangaza.
 
Ingekuwa kwenye foleni ingekuwa balaa kwa magari mengine.
 
Yaaan huwa natamanigi hiyo njia yao ikamilike. Sijui hata wamefikia wapi. Containers huwa hawazilock maana wamiliki wanahofia hasara wakilock. Zikichomoka tu chasis inabaki. Ila ikilockiwa inakua hasara kamili
Muongo mkubwa wewe, dereva hakipendi asilock container kwenye kichanja?
 
Kwetu sisi huu ni moto mkubwa sana.Mungu atuhifadhi.Kule Ukraine huo ni kama chai tu na inakuwa muda waowote.
1691332556117.png
 
Yes ni lebanon hakika walioweza kutoa ushuhuda walikuwa km nyingi
Mama wa miripuko ni ule wa bandarini Lebanon.Huyu jamaa yetu mleta uzi angeondoka nao,
 
Nilikuwepo eneo la tukio hakuna vifo Wala majeruhi (serious injury) ,mali zilizoteketea ni gari yenyewe ya mafuta ,piki piki mbili na vibanda kadhaa vya wafanya biashara gari limeangukia mtaroni kwahy Yale mafuta yamemwagukia kwenye mtaro.

Sababu ya ajali ni uzembe wa deleva alikuwa anawahi asikae kwenye foleni mataa , wakati amekaribia mataa alitaka kuchepuka njia ya pembeni(za kupigia u turn) sasa ni kama aligairi wazo lake la kupita pembeni, akairudisha gari main road .

Kilichotokea gari ikapanda juu ya matuta ya pembeni tire za nyuma zikawa zinaning'ing'a mtaroni sasa kutokana na mzigo mzito alioubeba chuma ndio ikapiga chini.

Ila moto unatisha jaman hiyo sauti yake sio poa kabisa ,hadi fire wenyewe tulikuwa tunashindana nao kukimbia, Kuna mama alikuwa na mtoto mgongon lakini zile mbio kama kalibeba chungwa aliliruka bango kama swala
Imebidi nicheke [emoji23] Hata kama haichekeshi kaah
 
Back
Top Bottom