HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wakati dada zao wanakuja jiuza kwa hao hao wanaume wa DarWajinga ni wepi
Au kama wale wa moro waliyokimbilia
Kuiba mafuta wakafa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati dada zao wanakuja jiuza kwa hao hao wanaume wa DarWajinga ni wepi
Au kama wale wa moro waliyokimbilia
Kuiba mafuta wakafa
Ova
Hapo bima anatemeshwa zzaidi ya nusu bilioniBima
Wanaume wapo Tarime, Rorya na Jiji la Nairobi!Sio sifa kufa kizembe
Unakuwaje msiba wa taifa wakati wao wenyewe wameifata barabaraMagufuli kawasaidia bila kuondoa nyumba ingekuwa ni msiba wa taifa
Vizuri wanazuiwa fanya biashara kando ya barabaraNi nyumba apa zishaungua kama 13 ivi, boda boda 26 teyari ni vyuma chakavu. Magari 9 yote Amna kitu ..yani kwa ufupi ni moto fire [emoji91][emoji91][emoji91]
Kule Moro petrol iliwaonesha kaziSio petrol ni dizel haina mbwembwe
Sawa asha mtako tumekuelewaWanaume wapo Tarime, Rorya na Jiji la Nairobi!
Temea chini juu yanaweza kukurudia...Hii gari ingeanguka Tarime au Rorya mkoa wa Mara hakuna wanaume wa kukimbia moto hapo.
Wanaume wa Dar hakuna kitu
Wa mikoani mngekimbilia kuchota mafuta,ndo maana huwa mnageuka majivu.Tofauti ya wanaume wa dar na wamikoani ni kubwa jamani. Ona wanaume wa dar wanakimbia tukio wakati wa mikoani wangekimbilia
Wana roho za mishikaki watu wa mikoani.Wa mikoani mngekimbilia kuchota mafuta,ndo maana huwa mnageuka majivu.
Kufa ukiwa unachota mafuta uo ndio uanaume. Sasa wanaume wa dar eti kwenye tukio kaa ilo adi picha wanapiga kwa mbali😀😀😀😀😂Sio sifa kufa kizembe
Siku izi tarime na rorya kuna mashogaWanaume wapo Tarime, Rorya na Jiji la Nairobi!
Fire nao ni ni binadamuHao Fire wanakula mbususu weekend?
[emoji1]Wakati dada zao wanakuja jiuza kwa hao hao wanaume wa Dar
Hahaha kwani za chadema ni za motoHebu acha uoga lisogelee upige picha vizuri ndio tujadili, mbona picha za chadema hua unapiga kwa ukaribu