Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Salary Slip,
Hii ni kashfa kubwa sana. Yaaani hapa lazima watu wenye akili wajiulize kama watanzania tuna akili au la tukilifumbia macho hili.
Kutumia jeshi linalolipwa mishahara na posho kwa kodi za wananchi kwenye shughuli zako za siasa sio matusi tu kwa sheria na katiba ya nchi Bali ni matusi kwa wananchi wote wa Tanzania.
Hii ni kashfa kubwa sana. Yaaani hapa lazima watu wenye akili wajiulize kama watanzania tuna akili au la tukilifumbia macho hili.
Kutumia jeshi linalolipwa mishahara na posho kwa kodi za wananchi kwenye shughuli zako za siasa sio matusi tu kwa sheria na katiba ya nchi Bali ni matusi kwa wananchi wote wa Tanzania.