Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo

Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo

Hawa watu wameshajikatia tamaa na sasa wameamua semeni mtavyosema ila sisi hatujali.

Kama ni kupoteza,wameshapoteza sasa kwanini wahangaike huku hata muda umeshawatupa mkono?

Hata ile fomu yao kuandikwa ni ya kwenda kugombea uongozi wa vyombo vya dola sio tu ilikuwa lengo ni kutisha,bali ile ilikuwa ni dalili nyingine ya kukiri kukataa kwao tamaa na hivyo hawana tena cha kupoteza(hawawezi poteza mara mbili).

Hata kitendo hiki cha leo ni ishara nyingine ya wao kujikatia tamaa unless huduma hii ya kupandishiwa bendera wameilipa serikalini.

Wangekuwa wanaheshimu wapiga kura,wengeonyesha document kulipia huduma hii au kutoa ufafanuzi lakini kwakuwa hawajali na wamejikatia tamaa,wametuacha tuseme tunavyoweza ila wao hawajali.

Tunaomba document yenye control number kama uthibitisho wa kulipia hii huduma serikalini vinginevyo msilaumu watu kwa wanayoyasema mitandaoni kuanzia huko twitter,hapa JF na kwingineko.

View attachment 1500216
Utajiri wa CCMAGEREZA ni questionable!

Hazina yetu lazima wameibaka.
 
Aiseee ccm wamejichokea , hadi kupandisha bendera wanashindwa..wkt Kuna majo bless akina mgonjwa mtambuka, bia yangu..mama ntilie wa kawe..USSR, Yehova, sumve, na kipara kipya wapo tu na hawana kz yyte..au nao wamegoma??
Kwi kwi kwi! Umemsahau kubwa lao MOTOCHINI
 
Tatizo nyinyi mmekariri magereza ya zamani na si hii ya Magufuli. Magereza ya sasa ni kama JKT wanazalisha na wanatakiwa wajitosheleze kwa kila kitu na si kutegemea ruzuku toka serikalini. Hata nyinyi Chadema mkiwataka wawafanyie kazi haikatazwi ili mradi muwalipe. Magufuli amebadilisha mambo mengi sana tatizo nyinyi bado mna taswira ya magereza za zamani.
Hiyo ndiyo ile umefiwa una kodisha watu kulia msibani Wapo wapi Vijana wa Chama kufanya kazi hiyo kweli Chama hakina mvuto tena
 
KWA MSIOJUA IKO HIVI
MAGEREZA IMESHAURIWA KUANZA KUWATUMIA WAFUNGWA HUKU WAKIPATA MASLAHI KADHAA

MF HAPA DAR KWA WALE WA MATOFALI WANAELEWA WANAJENGA KAMA AWANA AKILI NZURI JE CCM.WAKINUNUA N VIBAYA HAYO MATOFALI

TUJE UJENZI PALE UNAPONUNUA WANAKUULIZA KAMA UNA MAFUNDI HUNA UMAWAKODISHA WANAKUJENGEA MWANZO MWISHO NA BAADHIYAOO N WAFUNGWA KINTOK KITU HUAMINI WE UNAMALIZANA MALIPO NA MAGEREZA

2)HII MNAYOONA N KAZI KAMA KAZI ZINGINE PENGINE CCM WAMEWAKODISHA NA WANAWALIPA SHIDA IKO WAPI

KAKODISHENI MUWEKE BENDERA ZA SIMBA BASI
Jifunze kuandika vizuri kwanza alafu ndio uje kujenga hoja!
 
Hiyo ndiyo ile umefiwa una kodisha watu kulia msibani Wapo wapi Vijana wa Chama kufanya kazi hiyo kweli Chama hakina mvuto tena
Kwani ruzuku ina kazi gani hadi uchukue vijana? Tatizo nyie ruzuku ndiyo imekuwa ya kunywea konyagi.
 
Hata wewe unaweza kuwatumia wafungwa kwa shughuli yoyote ila kuna malipo unalipia, Sio kesi!
Mimi washanivunia sana mpunga
Itumie vema akili , usipelekeshwe na tumbo
 
Hawa watu wameshajikatia tamaa na sasa wameamua semeni mtavyosema ila sisi hatujali.

Kama ni kupoteza,wameshapoteza sasa kwanini wahangaike huku hata muda umeshawatupa mkono?

Hata ile fomu yao kuandikwa ni ya kwenda kugombea uongozi wa vyombo vya dola sio tu ilikuwa lengo ni kutisha,bali ile ilikuwa ni dalili nyingine ya kukiri kukataa kwao tamaa na hivyo hawana tena cha kupoteza(hawawezi poteza mara mbili).

Hata kitendo hiki cha leo ni ishara nyingine ya wao kujikatia tamaa unless huduma hii ya kupandishiwa bendera wameilipa serikalini.

Wangekuwa wanaheshimu wapiga kura,wengeonyesha document kulipia huduma hii au kutoa ufafanuzi lakini kwakuwa hawajali na wamejikatia tamaa,wametuacha tuseme tunavyoweza ila wao hawajali.

Tunaomba document yenye control number kama uthibitisho wa kulipia hii huduma serikalini vinginevyo msilaumu watu kwa wanayoyasema mitandaoni kuanzia huko twitter,hapa JF na kwingineko.

View attachment 1500216
Wamekodishwa. Hawafanyi bure. Hata nyie mkitaka fuateni taratibu mta wapata.
Tegemeeni hilo jibu kesho toka Slow Slow
 
Kumbe na kenyewe kalitaka kugombea?
@Wakudadavuwa homa na pressure juu baada kuambiwa watapambana na Silinde huko Momba.
Ndio maana hata upupu wake hapa JF siku hizi huuoni
 
Tatizo nyinyi mmekariri magereza ya zamani na si hii ya Magufuli. Magereza ya sasa ni kama JKT wanazalisha na wanatakiwa wajitosheleze kwa kila kitu na si kutegemea ruzuku toka serikalini. Hata nyinyi Chadema mkiwataka wawafanyie kazi haikatazwi ili mradi muwalipe. Magufuli amebadilisha mambo mengi sana tatizo nyinyi bado mna taswira ya magereza za zamani.
Watu hawaelewi mpka sasa dhana ya uchumi wa kati..Naona bado wapo na Mawazo ya umaskini maskini. Magereza inatakiwa ijiendeshe yenyewe kwa kutumia resources zake..sio kutegemea ruzuku kila siku kuitia hasara serikali tuuu
 
Back
Top Bottom