Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo

Gari namba MT 0128 Mali ya Jeshi la Magereza ikiwa na Wafungwa inatumika kupandisha Bendera za CCM katika nguzo za barabarani hapa Dodoma Mjini Leo

Itumie vema akili , usipelekeshwe na tumbo
Khaaaaa sijaelewa....ina maana hukuelewa maelezo yake au vipi jomba..Hata wewe Ukitaka kuwakodi naenda Jomba. ...Wapo kikazi zaidi
 
Unalipa magereza, hilo sio tatizo.
Litakuwa tatizo kama watatumiwa bila malipo, i.e serkali kupitia magereza wasilipwe.

Hata wewe unaweza kuwaita kulima au kazi yoyote halafu unalipa.
Ni sawa na kuchukua polisi akulinde unailipa serkali
Na magari ya serikali yanakodishwa?
 
Kuelekea mkutano wa ccm hapo kesho jijini Dodoma leo hii zimetumika mali za umma kupandisha bendera za chama hicho kama inavyo onekana hapo chini.

Kwa wajuzi wa mambo ya kisiasa tunaomba mtuelekeze kama ni sahihi chama cha kisiasa hasa kwenye mfumo wa vyama vingi kutumia rasilimali za umma kufanikisha shughuli binafsi kisiasa. View attachment 1499907
Magufuli ni moja ya viongozi wa hovyo kuwahi kutokea katika dunia hii,Mungu atusaidie tu Ila kwa huyu jamaa watanzania tumepata hasara sana
 
Mbona hiyo kawaida kama una kazi yoyote nenda ukawatafute mbona watakufanyia kazi ! Hapo sion i tatizo hata nyumba ukiwahitaji wanakujengea
Na magari ya serikali yanakodishwa. This is not an ethical government, its something else.
 
kwa watu walio nyuma kwenye human civilization and democracy hawana uwezo wa kuseparate kati ya shughuli za chama na serikali kwao ni kitu kimoja!! shame on us!! kulazimisha mambo ya wazungu kumbe uelewa wetu ni ziro!!!unaweka sheria za vyama vingi halafu unaua wapinzani!! aibu sana!!
Aibu ni kwako Jomba Naona huelewi dunia inavyokwenda ni mpinzani gani anayelalamika upinzani unakufa.hivi ingekuwa hivyo wapinzani leo wangepataje nafasi za ubunge na wengine hata kuendesha Halmashauri. Nani angewapa hizo nafasi..Jomba umevurugwa
 
Kuelekea mkutano wa ccm hapo kesho jijini Dodoma leo hii zimetumika mali za umma kupandisha bendera za chama hicho kama inavyo onekana hapo chini.

Kwa wajuzi wa mambo ya kisiasa tunaomba mtuelekeze kama ni sahihi chama cha kisiasa hasa kwenye mfumo wa vyama vingi kutumia rasilimali za umma kufanikisha shughuli binafsi kisiasa. View attachment 1499907
Ni kutupa pesa bure kufanya jambo ambalo linajulikana matokeo yake yatakua vipi... Mtu unajiuliza hiyo bajeti ya shughuli nzima ni kiasi gani? Ni bora zingejengea zahanati au vyumba vya madarasa
 
Unalipa magereza, hilo sio tatizo.
Litakuwa tatizo kama watatumiwa bila malipo, i.e serkali kupitia magereza wasilipwe.

Hata wewe unaweza kuwaita kulima au kazi yoyote halafu unalipa.
Ni sawa na kuchukua polisi akulinde unailipa serkali
Huu utaratibu upo kwa mujibu wa kanuni gani? Mbona hawatangazi na sisi tutumie huduma zao?
 
Qqqqvm@@@nina walahi. Hasira km zote nikishuhudia mambo valu valu km haya.
 
Naona unatafuta ndoa
Yaani Mbowe kama angekuwa bado yuko magereza ingefaaa sana apigwe picha akiweka vizuri hivo vibendera. Sio mbaya mdude nyagali awakilishe, bwana jela sio mchezo.
 
Back
Top Bottom