Hahahahahah engine za inline six za toyota huwa sio engine za kufa kijinga.ππ Kabisa mkuu,Ile gari hata coolant Mara ya mwisho kuiwekea ilikua Ni 2014 baada ya hapo ni kitu Cha maji ya Bomba mwanzo mwisho,no overheating,no corrosion.
Jino 1 tu hata iwe safari ya wapi kitu kishaitika,so far imekua the most reliable car.Nyingine zinakuja na kupita kumuacha mnyama hapo parking ametulia tu.
ππ Nakubali mkuu,1G-FE,1JZ/2JZ-GE naona ziko mukide sana,hizi 1JZ/2JZ-FSE sizipendei mambo yake ya 'D4' na story zake.Hahahahahah engine za inline six za toyota huwa sio engine za kufa kijinga.
Durability yake ni kama engine za diesel tu. Ukiiwekea oil ukabadilisha na belt kwa wakati inadunda tu.
FSE ni jau sema nashangaa mbona 4GR ni FSE nayo ila haisumbui watu. Au sababu haijaandikwa D4ππ Nakubali mkuu,1G-FE,1JZ/2JZ-GE naona ziko mukide sana,hizi 1JZ/2JZ-FSE sizipendei mambo yake ya 'D4' na story zake.
Huko kwny 1JZ/2JZ-GTE sijataka kupaongelea kabisaa ππ
Hapo umenena vizuri... Siku nipo na kubakuri changu natoka Dar naenda mtukura bwana, kumbe kichuchu cha radiator cap kimechoka kina shindwa ku withstand pressure ya cooling system, matokeo yake kikawA kina ruhusu maji muda wote yanaenda kwenye reserve tank, sasa nkastuka kusikia feni inazunguka abnormally, maana hiki ki gari kama ujawasha ac feni huisikii kelele zake pindi inapuzunguka kupoza radiator for heat exchange... Sasa Nilivosikia zile noise za feni continuously, nikazima ac, mmh bado feni ipo palepale inapiga kelele, what i did ikaweka gari pembeni immediately, kufungua bonnet, nakuta maji yanamwagika kupitia reserve tank, so maana yake kama nisingekua mtu wa mtu wa ku observe vitu basi hali ingekua teteBrother gari inaweza kuchemsha hata kama ina Km chache, Vitu kama fuse au relay ni vitu ambavyo vinaweza kuungua muda wowote na cooling fan ikaacha kufanya kazi....
Ukiacha habari ya gari kuchemsha kwa sababu ya cooling fan kuacha kuzunguka(hapa nazungumzia fan ya umeme), Sababu zingine zote za kuchemsha fan itakuambia kwamba gari inataka kuchemsha,
Interval za automatic fan kuzima na kuwaka zinakuwa fupifupi sana, Au fani inazunguka muda wote. Ndio maana hatushauri kuunga fan direct.
Kwa njia hii unaweza kujua gari inataka kuchemsha kabla hata gauge haijaanza kupanda ndani.
Bahati mbaya njia hii haiapply kama mtu anatembelea AC muda wote.
Tunaziona Sana Ila running and maintenance costs ndio constraint.Si muachane na huo upuuzi unaitwa TOYOTA??
Kwani Benz hamzioni??? Acheni upuuzi.
Hahah mzee umeulizwa swali la msingi aisee, na Mimi sijasikia 4GR zikizingua.FSE ni jau sema nashangaa mbona 4GR ni FSE nayo ila haisumbui watu. Au sababu haijaandikwa D4
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ Oya huo unyama nani anauweka mjini π€£π€£π€£ hio tamu sana babu. Uzuri akukatie na kambaHahah mzee umeulizwa swali la msingi aisee, na Mimi sijasikia 4GR zikizingua.
BTW majuzi nilikutana na Crown 4gr-fse jamaa ameiwekea supercharger kit ya Arma,kitu unatoa HP 310 nikasema tu hiiiiiiiiiiiiiii.
ππ Ni ya mshkaji mmoja hivi anaitwa Murtaza, nilikutana nae wayback kwny Tanzania Atlantic rally Kule Chuga.π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ Oya huo unyama nani anauweka mjini π€£π€£π€£ hio tamu sana babu. Uzuri akukatie na kamba
Achana na motivational speakers mkuu, tupambane na Hali zetu.Tunaziona Sana Ila running and maintenance costs ndio constraint.
Soma uelewe naona umekurupuka,hizo unazoita fake wenzio tunadunda nazo na vitoyota vyetu...Siyo kweli, hizo Oil Filter na Engine Oil unavyonunua kwa 35k na 10k nyingi ni fake. Huwezi pata genuine kwa bei hiyo
Gari ikishachemsha itawaka taa kama hiyo nyekundu, ukidelay kuchukua hatua imeisha hiyo... hutokaa uone gauge ikipanda sababu hawajaweka gauge.Kwangu mi kuna mnara tu, unawakaga blue kwenye cold start kisha baada ya dakika 3 unazima πππ sasa sijajua kama shida ikija itakuwa hauwaki au vipi?
Ukiwa na mpunga unatia tu Radiator yenye cap za aluminium japo bei mkasi.Kuna kipindi radiator ilikuwa inavujisha maji yani huku battery langu bovu nikawa siizimi gari kwa quick stops. Hio siku gari iliwasha feni mfululizo hadi feni ikaanza kubadili mlio na kulia kwa kelele sana.
Niliizima gari ikakaa baada ya kama nusu saa nikawasha nikarudi home kuipaki. Toka na hapo sikuitumia hadi nilipobadili radiator cover na kuisafisha.
Hivi toyota bado anazalisha inline 6?Hahahahahah engine za inline six za toyota huwa sio engine za kufa kijinga.
Durability yake ni kama engine za diesel tu. Ukiiwekea oil ukabadilisha na belt kwa wakati inadunda tu.
Nitafutie mswaki jamaa acha maelezo πππππ Mtoa mada kasema Gari zenye Aluminum Block ndio zinazingua wkt 1G-Fe Ni Cast Iron block Sasa sijui hapo umechanganya madesa au?
Nina Gari yenye hio engine 1G-FE tangu 2007 mpk leo na haijawahi kuzingua(zaidi ya Kubadilisha timing belt tu Sababu najua ikizingua kwny hio engine shughuli yake Ni mziki),ukishindwa kui-maintain 1G-Fe labda mkokoteni tu ndo unaweza kuvumilia mateso hayo.
kwahio uendeshe Hadi irushe maji ?Kuna Gari kuchemsha na uko porini katikati ya safari ndefu, vipi utapaki mbugani/porini usubirie mpk temperature ishuke?
Nitafutie mswaki hii haina compression kabisa baada ya kuchemsha nshabadili c. Head mbili tatizo bado mafundi wanashauri nibadili "Piston rings" lakini naona gari haitoi moshi mweupe rings zinahusikaje? Gari ina miss isiyoisha mebadili plugs, coils na nozzles bado ipo tu. Naona niiweke pembeni nifunge nyingine1G umeifanyaje mkuu... Hii hata siyo Aluminium.
FSE ni jau sema nashangaa mbona 4GR ni FSE nayo ila haisumbui watu. Au sababu haijaandikwa D4
Kwahio D4 za kisasa sio pasua kichwa kama 3ZR ambaye ni successor wa 1AZ!GR engines haziwezi kuwa D4 maana hizo engine siyo inline 4 japo nazo ni engine za direct injection km ilivyo hizo D4.
Toyota kwenye GR engines ambazo ni direct injection walifanya redesign...
Kwa mtu aliyefungua GR engine yoyote mfano kwenye Crown na mark X halafu akafungua na D4 za brevis au RAV 4 anaweza kunote utofauti kuanzia kwenye design ya injector nozzles.
Pia nozzle za GR ni rahisi kuchomoka ukilinganisha na D4 za JZ au AZ. Japo zote ni rahisi kukatika maana Toyota ametumia plastic za bei rahisi kwenye connectors.
Kwa kifupi tu engine nyingi za Direct injection za zamani ni pasua kichwa sababu zinatengeneza sana Carbon kwenye intake valves. Hivyo baada ya muda unaanza kukosa performance.
Hata kwenye mjerumani ni hivyo hivyo.
mfano BMW N45 na N54 hazikufanya vizuri na direct injection ila N55, B48 na B58 zinaperform poa.
Pia kwenye Audi 1st gen. na 2nd gen ya EA888 ni pasua kichwa ila 3rd gen ni Bonge moja la engine.
Uko wapi mkuu?Nitafutie mswaki jamaa acha maelezo πππ
Mkuu nipo Dom ila naufuata Hata DarUko wapi mkuu?