Stephan Lichtsteiner
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 520
- 1,476
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazee wa oilfilter za buku 10... Na spark plug za efu 8...[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hii ngumu kumeza
Mwambie 1M nampaKuna mpemba anauza 1.3m....
Sisi alituuzia mswaki wa 2az jana....
Ni rahisi kujua kama taa yako ya overheating inafanya kazi..pale ukiweka tu switch on kabla gari haijawaka cha kwanza kabisa gari huwa ina ji self diagnose yenye na kukagua je system zote zipo sawa before gari kuwaka... Hapa utaona taa (warning lights) za dashboard zote zinawaka then baadhi zita omdoka..ila kamq kuna fault zitabaki, pia utasikia relays ziki click kuashiria zipo ok..sasa hapa kwenye kuwasha taa huwa ndo sehemu ya ku-observe je warning lights zako zote zinafanya kazi au lah.. including warning light ya high temperature..ambayo inakua na rangi nyekundu, ukiona haiwaki basi bulb yake itakua imeungua..so una replace maisha yanaendelea..Kwangu mi kuna mnara tu, unawakaga blue kwenye cold start kisha baada ya dakika 3 unazima [emoji3][emoji3][emoji3] sasa sijajua kama shida ikija itakuwa hauwaki au vipi?
Kuhusu fraud za kilometa kwenye yard za kibongo, watu wanapoenda nunua gari toka yard wajitahidi kuomba auction documents zinahusiana na gari usika toka lilikotoka. Ile itakupa details nyingi including auction rating ya gari,.(NB auction rating below 3 kimbia)Ila hio engine hadi kuchemsha lazma una kilometre laki 3 na 50 au zaidi ikiwa inatunzwa vizuri. Na hii style ya gari ya kilometre 160,000 kugeuzwa 60,000 na madalali wa Yard ndio itazidi kutuchafulia brand yetu pendwa.
Unaanza kuweka 5w30 kwenye li engine la kilometre laki 2 ikianza kusaga vyuma mwisho lawama za ajabu ajabu hazitokwepeka.
Wear and tear hazikwepeki kwenye engine ila wengi tuna abuse sana hizi gari za Toyota sababu hata ukiweka mafuta ya Korie kwenye engine yanakaa. Ikifikia huko badili engine tu acha malalamiko mzee. Unataka wenye maduka Ilala wakale wapi???
Kwamba ukisikia D4 unajua Ni inline 4
Hivi huwa inapiga Alarm kweli?Unabadilika rangi na kuwa mwekundu na alarm juu.
Direct four stroke dieselNipe wewe tafsiri ya D4 au D4D unaweza hata kugoogle.
Direct four stroke diesel
D4D
D4 direct injection 4 stroke (D4)
Anyway sijawahi jua hivo....Unajua kutumia internet vizuri kweli,, Hilo jibu Ni Nani kaandika? Unakuta Ni majibu ya kule quora mtu yoyote anaweza jisikia akaandika mawazo yake yanavomtuma
Mfano Niki andika mtandaoni popote kuwa JituMirabaMinne Ni shoga alafu watu wakaanza bishana kuwa huyo mtu Ni Nani 🤔 mmoja akasema Ni shoga mwngne akasema sio Ni fundi magari tu kawaida Wala Hana hizo Mambo ,, haya wakaingia Google Waka search Hilo jina je unajua watakutana na sehemu nilipoandika kuwa huyo mtu Ni shoga na mmoja atascreenshot atamuonesha? Habari mtandaoni inaandikwa na yoyote majibu ya Google sio reference ..Google inafanya kuku locate na sehemu yenye ulicho search iwe sahihi isiwe sahihi ndo tayari Ni kazi yake kubwa
Hivo kaangalie aliendika hapo Ni Nani na alitoa wapi
Itakuaje Ni 4cyl wakati zipo 4cyl ,6cyl na 8 ambazo zote Ni direct injection
Nimeipenda hii. Maana inakaribiana na piki² SANLG na SANYA nazo ni 4 stroke.Direct four stroke diesel
D4D
D4 direct injection 4 stroke (D4)
Engine zote kwa Sasa Ni 4stroke , bike zote hizo za kichina hamna iliowahi kuwa 2stroke,Nimeipenda hii. Maana inakaribiana na piki² SANLG na SANYA nazo ni 4 stroke.
Thread [emoji777]Hizi engine za kisasa za toyota ambazo zimekuja na Aluminium block ni nzuri ikiwa haijawahi pata shida ya kuchemsha.
Ila kama ikitokea ikachemsha halafu ukarekebisha bado matatizo ya kuchemsha yakaendelea, nakushauri achana kabisa na hiyo engine sababu vinginevyo hakuna rangi utaacha kuona.
NZ, ZZ, AZ, GR, na engine zingine zote za toyota zenye aluminium blocks ni za kipuuzi mno zikishaanza kuchemsha.
Yaani gari inachemsha matundu ya bolt ya block yanatanuka halafu Bolt za Cylinder head zinaruka thread kwenye Block. Baada ya hapo bolt hazifungi tena. Wajapani wanajua wenyewe walivyodesign blocks zao.
Usije kujidanganya kwamba utaenda kusurface cylinder head au kuchonga thread za Block utumie bolt nyingine. Majanga hayatoisha kwenye hiyo gari.
Mjerumani anatumia block hizo hizo za aluminium kwa sasa tena mpaka kwenye engine za diesel. Lakini zikichemsha hutokutana na hicho kinachotokea kwenye toyota.
Mjerumani alitumia akili, Block Aluminium ila sehemu za kufunga Bolt kaweka cast iron. Miaka 800 hakuna Bolt itaruka thread.
Sijajua kwa gari zingine za kijapani. Ila kwa Toyota hali ndio hiyo.
Thread [emoji777]
Tred[emoji3581]
Mkuu kuhusu piki² kaa pembeni kabisaaa, ongelea tu magari.Engine zote kwa Sasa Ni 4stroke , bike zote hizo za kichina hamna iliowahi kuwa 2stroke,
2stroke imebaki kwenye pikipiki baskeliiii ,, zile baskeli zenye zinafungwa engine ndogo 50cc to 80cc zile Ni 2stroke, na Yamaha Wana dirtbike moja cc 400 nadhani Ni 2stroke sijajua Kama inatengenezwa tena
Umesoma line mbili za mwsho nilichoandika lknMkuu kuhusu piki² kaa pembeni kabisaaa, ongelea tu magari.
Piki² za 2stroke zipo ngingi tena ni mpya hata ukitaka za mwaka huu 2023.
Kaa pembeni mkuu!!!!Umesoma line mbili za mwsho nilichoandika lkn
Una mawenge Sana,, utoto unakusumbua hata puru yako yaweza kuwa 2stroke rudia Soma line mbili za mwshoKaa pembeni mkuu!!!!
2stroke zipo hadi ktk meli tunasafiria Dar - Znz