Ulichoandika: "2stroke zipo tu kwenye baiki na kwa sasa hujui kama za yamaha kama zinatengenezwa"Una mawenge Sana,, utoto unakusumbua hata puru yako yaweza kuwa 2stroke rudia Soma line mbili za mwsho
Una wenge dogo inaonekana hushughulikiwi vizuriUlichoandika: "2stroke zipo tu kwenye baiki na kwa sasa hujui kama za yamaha kama zinatengenezwa"
KAA PEMBENI. 2stroke zipo na zinatengenezwa.
D4, haina maana uliyoitoa ya " Direct-4 stroke"
Niliposomea ufundi wa magar ni KIST, Mwalimu ni HANSS- Mjerumani na KIM- Mkorea. Boya wewe.
Kwa hio kutaja their nationality ndo iweje Sasa au ndo itabadili Nini,, we Ni mshamba dogoNiliposomea ufundi wa magar ni KIST, Mwalimu ni HANSS- Mjerumani na KIM- Mkorea. Boya wewe.
hio taa ikiungua utajua tu maana ni lazima iwake wakati unawasha gari nahisi muda mwingine ni uzembe wa mtu kufuatiliaKuna ambao gari hazina temperature gauge za analog, wanakua tu na kitaa chekundu kikija kuwaka unakuta gari isha anza kutoa mvuke huko mbele..(kipo reactivate badala ya kua proactive) pia hizi taa kuna gari nyingine wakati wa mchana kitaa kikiwaka hukioni kwakua hakina mwanga wa kutosha mchana jua kali..tofauti na geji za analog unakua unaona mshale wa temperature so any shift in temperature unapata feedback instantly ..kwa gari zenye temperature gauge ya taa gari, unakuta kitaa kilisha ungua hakiwaki na mtu hana hata habari ya bulb(inauzwa 500-1000).
But ukiwa mzoefu gari ikianza kupandisha joto la injini hata kama gauge haifanyi kazi utajuatu...ping noises.
shida ikija itawaka nyekundu inablinkKwangu mi kuna mnara tu, unawakaga blue kwenye cold start kisha baada ya dakika 3 unazima πππ sasa sijajua kama shida ikija itakuwa hauwaki au vipi?
Mswaki wa 1g m 1.3!parefuKuna mpemba anauza 1.3m....
Sisi alituuzia mswaki wa 2az jana....
Kianzio milioni 236. Then utazungumzia kodi na TRA mlipane kwa utaratibu gani maana nasikia wa gari hizi wanalipa kwa utaratibu maalumu tofauti na wa IST.Tutafute pesa kuna gari na usafiri.
Nimeona youtube land cruiser c300 injini yake ni mkataba kabisa.
Hata shetani anaweza kuomba lifti
View attachment 2489415
Easy ukiona mshale wa temp unapanda zima gari pumzika kwa dk 20 mpaka 30 then washa anza kwenda nayo mdogo mdogo huku unaangalia temp gaugeKuna Gari kuchemsha na uko porini katikati ya safari ndefu, vipi utapaki mbugani/porini usubirie mpk temperature ishuke?
[emoji23][emoji23][emoji23] wazee wa cast ironTulio na 3s, 5a, 5s na 7a tunawaangalia "wakishua" mnavyolalamika. π