Kweli tu
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 397
- 448
Ulichoandika: "2stroke zipo tu kwenye baiki na kwa sasa hujui kama za yamaha kama zinatengenezwa"Una mawenge Sana,, utoto unakusumbua hata puru yako yaweza kuwa 2stroke rudia Soma line mbili za mwsho
KAA PEMBENI. 2stroke zipo na zinatengenezwa.
D4, haina maana uliyoitoa ya " Direct-4 stroke"
Niliposomea ufundi wa magar ni KIST, Mwalimu ni HANSS- Mjerumani na KIM- Mkorea. Boya wewe.