Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Sasa watz wenzangu hasa hapa JF wanachukua gari iliyopo kwenye Homepage kabisa ya BMW / AUDI /VW halafu wanapambanisha na gari ambayo TOYOTA hawajaiweka hata kwenye website yao yaani hata ukisearch hakuna viashiria kama wanatengeneza hiyo gari . Ndio wanazishindanishaa [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Huyo mtu anasifia gari ambayo hawezi hata kumiliki miaka 20 ijayo.

Bora wale wanaomiliki german cars za miaka 20 iliopita wana enjoy kidogo.

Njoo kwa hao Lexus fan boys ambao wanaendesha Sienta au Raum ya 2003 huku wanaiponda C class ya 2003.

Kwenye stability hawapo, handling ndo hakuna kabisa, comfort wanaishia isikia kwingine.
 
Nimeweka bei ya Lexus Ls, na BMW 7 series na AUDI A8 zote mwaka 2017.. zote hizo zimekatwa gape la hatari 😀😀😀. German wa humu nitaanza waogopa wakianza kumiliki Ferrali au Roli Roizi.. maana kelel zao zote naona ni BMW na Benz na Volks wagen za mwaka 2008 😀😀😀.. ambazo hazina tofauti kuanzia bei na Crown.. ila wajapan wapole sana hawajivuni kabisa 😀😀
Bush ya Crown ukiwa na elfu 20 unafunga miguu yote 😂😂😂

Sasa hizo BMW sijui Benz unazoziongelea hiyo hata Bush moja hupati..
 
Sio makampuni tofauti bro, Lexus ni division tu! Ni sawa uwe na kiwanda chako uzalishe bidhaa ya kuuza mkoa mzima halafu uwe na nyingine classic zaidi ya kuuza Oysterbay, Masaki, Mbezi na Mikocheni tu!

Ndio alichokifanya Toyota na kiwanda ni hiko hiko kimoja.
Sawa. Hakuna neno.

Twende pound for pound.

Tufanye, Mr. Rrondo anamiliki E Class ya 2008. Mbadala wake ni upi kwenye hiyo Lexus au Toyota ambayo wabongo wanamiliki wengi?
 
Huyo mtu anasifia gari ambayo hawezi hata kumiliki miaka 20 ijayo.

Bora wale wanaomiliki german cars za miaka 20 iliopita wana enjoy kidogo.

Njoo kwa hao Lexus fan boys ambao wanaendesha Sienta au Raum ya 2003 huku wanaiponda C class ya 2003.

Kwenye stability hawapo, handling ndo hakuna kabisa, comfort wanaishia isikia kwingine.
Toyota ukiwa na laki moja unaipigisha service ya kutisha sana..
 
Kuna powerful engines zinakuja stock tena made by hand na hiko ki-engine kako kinatengenezwa na series of robots.

Hiko ki-engine kako hakina u-special wowote, hp na torque kimepitwa mbali sana.
Mkuu tutajie basi hio engine ya kizungu ilio kwenye same class na 2jz na imeipita torque na hp
 
Natamani somo la Economics liwe la lazima kwa vijana wetu mavyuoni ...ili wakutane na vitu mbali mbali ikiwemo

Maslow's Hierarchy of Needs... wajue kwa nini mtu ananunua Vits tena kwa kuipenda kabisa​

Huyo ananunua vitz sababu uchumi wake mdogo na hawezi kumudu gharama za uendeshaji wa gari yenye engine kubwa i.e anataka aweke mafuta ya 5000 etc....
 
Back
Top Bottom