Gari ya Lissu iliyopigwa risasi, isibadilishwe muonekano, ikae ilivyo, ipelekwe katika kila mikutano ya siasa kukumbusha madhila ya Hayati Magufuli

Gari ya Lissu iliyopigwa risasi, isibadilishwe muonekano, ikae ilivyo, ipelekwe katika kila mikutano ya siasa kukumbusha madhila ya Hayati Magufuli

Bora kusamehe na kusahau yapite ili watu waendelee na maisha kwani duniani mambo haya yanatokea sana na yanaendelea kuonekana kila siku
Siasa chafu na tamaa ya madaraka ndio chanzo kikubwa cha migogoro duniani
 
images (59).jpeg.jpg
 
Watanzania wengi ni matomaso, ukiwasimulia tu hivi hivi, hawaamini. Nashauri gari ya TAL isibadilishwe muonekano wake baada ya kupigwa risasi, matundu ya risasi yabaki, gari itengenezwe injini tu na sehemu muhimu, ila sehemu zenye matundu ya risasi zibaki.

Hii itafanya watu wakifika katika mikutano ya hadhara, kwanza wapate somo lwa kuliangalia gari, kisha watajikumbusha madhira ya awamu ya tano. Gari hiyo itembezwe mitaa yote ambako mikutano inatarajiwa kufanyika, wananchi wayaone matundu ya risasi, halafu waamue wenyewe kuhusu awamu ya tano, na walinganishe na awamu ya SSH ambayo Lissu anazurura huku na kule akimtukana kwa uzanzibari wake

Pili, Lissu asipande gari hilo, kwa kuwa tayari lomeshaingia nuksi, ni sawa na jeneza.
Legacy imeshajikamilisha. Kuibomoa utabomoka mwenyewe.

Yeyote anaetaka kura 2025 itabidi ajitahidi kuyaficha maovu yote ya jiwe ili aungwe mkono.

Siomuoni mtu yeyote Kuanzia Sasa akimkashifu JPM, lambda asiependa uongozi.
 
Watanzania wengi ni matomaso, ukiwasimulia tu hivi hivi, hawaamini. Nashauri gari ya TAL isibadilishwe muonekano wake baada ya kupigwa risasi, matundu ya risasi yabaki, gari itengenezwe injini tu na sehemu muhimu, ila sehemu zenye matundu ya risasi zibaki.

Hii itafanya watu wakifika katika mikutano ya hadhara, kwanza wapate somo lwa kuliangalia gari, kisha watajikumbusha madhira ya awamu ya tano. Gari hiyo itembezwe mitaa yote ambako mikutano inatarajiwa kufanyika, wananchi wayaone matundu ya risasi, halafu waamue wenyewe kuhusu awamu ya tano, na walinganishe na awamu ya SSH ambayo Lissu anazurura huku na kule akimtukana kwa uzanzibari wake

Pili, Lissu asipande gari hilo, kwa kuwa tayari lomeshaingia nuksi, ni sawa na jeneza.
kwamba kila aliyeuawa kipindi cha utawala wa jpm bas jpm ndo alikuwa anahusika ? yaan mtu akoswe kisha wamuache asafirishwe mpk Dar kisha Kenya ? hz stori ni za kiabunuasi zaid
 
Watanzania wengi ni matomaso, ukiwasimulia tu hivi hivi, hawaamini. Nashauri gari ya TAL isibadilishwe muonekano wake baada ya kupigwa risasi, matundu ya risasi yabaki, gari itengenezwe injini tu na sehemu muhimu, ila sehemu zenye matundu ya risasi zibaki.

Hii itafanya watu wakifika katika mikutano ya hadhara, kwanza wapate somo lwa kuliangalia gari, kisha watajikumbusha madhira ya awamu ya tano. Gari hiyo itembezwe mitaa yote ambako mikutano inatarajiwa kufanyika, wananchi wayaone matundu ya risasi, halafu waamue wenyewe kuhusu awamu ya tano, na walinganishe na awamu ya SSH ambayo Lissu anazurura huku na kule akimtukana kwa uzanzibari wake

Pili, Lissu asipande gari hilo, kwa kuwa tayari lomeshaingia nuksi, ni sawa na jeneza.
kwamba kila aliyeuawa kipindi cha utawala wa jpm bas jpm ndo alikuwa anahusika ? yaan mtu akoswe kisha wamuache asafirishwe mpk Dar kisha Kenya ? hz stori ni za kiabunuasi zaid
 
Unataka jibu tena gani hapo wakati tayari jibu nimekupa, ikiwa hujaona hilo jibu basi wewe ni mfu unaye tembea
Kwa umbumbumbu huu ndiyo maana vijana tutabaki kuwa watazamaji tu. Wazee wataendelea kukalia viti vya uongozi. Vijana wengi ni weupe kichwani.

Unaambiwa tetea hoja yako huwezi.
 
Na kwa ujinga ulionao Umetoa fursa kubwa ya wahuni kutawala hii nchi.

Kubaki kuwa mjinga ni uamuzi tu.

The choice is yours.

Unataka kusema kwamba bibie sio mkatili?

Vipi kuhusu mzee wa Msoga je hakuwa mkatili?
Mimi nasema yule mhutu alikuwa katili sana,hayo ya huyo bibie na Mzee wa msoga unajua wewe na sijakulazimisha ukubaliane na mimi.
 
Back
Top Bottom