25 back in 2013 alteza gitaNajua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Mimi 25 niliagiza Mkoko toka Japann.
Funguka Mkuu..!
Mwenge hauruki mtaa, njoo hapa ushanipata laivu.....Hapa nikae vizuri naweza nikaruka na don mmoja
sema nili sahau Huku maliza dozi, maana vidonge Nili viibaππNilisha pona mimi....ππ
Kawaida kwa wengi... Mimi nimebadilisha gari kama 4 hata kiwanja huko mashambani sina eti najipa moyo nitanunua mbezi beach siwezi ishi maporini bunju wala wazo au madale huko hakuna huduma kipindi hicho. Ama kweli sasa hivi nimejenga mbali zaidi ya huko maana huko now hakushikiki.27 tu nilikuwa na Rav 4 kipisi, hapo sina hata kiwanja
A.k.a nauli hasira au miguu haina foleni0-age up to now TZ 11 (ELEVEN)
Oyooooo!! πππAcha nimpe tu potelea mbali nzi kufia kwenye ......
Nikutonye tu nina wake wawili ila naruhusiwa wanne kwa hiyo mtajibana tu na hao ila wivu na vita mwiko π mtagawana fitoOyooooo!! πππ
Nakupenda peke yako daddie π
Kwanza mi sipendi ugomvi hilo ondoa shaka kabisaa!! G Wagon yangu isikose mafuta tu!Nikutonye tu nina wake wawili ila naruhusiwa wanne kwa hiyo mtajibana tu na hao ila wivu na vita mwiko π mtagawana fito
Thank you my dear uwe na usiku mwema acha nivute picha sasa nilale πKwanza mi sipendi ugomvi hilo ondoa shaka kabisaa!! G Wagon yangu isikose mafuta tu!
Good nyt daddie π
Damu ya Yesu ikulinde, uniote thawaa? π
Hizi conversation,kimasihara inanukia.Thank you my dear uwe na usiku mwema acha nivute picha sasa nilale π
Nakupa card kabisa
Kwa huyo anaweza kweli kukupa..ila naogopa kumpitisha nitakuwa Yudaππππ€π€π€Kwanza mi sipendi ugomvi hilo ondoa shaka kabisaa!! G Wagon yangu isikose mafuta tu!
Good nyt daddie π
Damu ya Yesu ikulinde, uniote thawaa? π
Kasema ana phoenix ππππYe mwenyewe anapanda mwendokasi,hiyo funguo kaitoa wapi?maana ya geto tu Hana labda anipe ya trunkerπππ
Mpaka dada umekubali basi kweli daddie ananifaa ππππKwa huyo anaweza kweli kukupa..ila naogopa kumpitisha nitakuwa Yudaππππ€π€π€
Mi sioYuda Eskariot ,niacheπππMpaka dada umekubali basi kweli daddie ananifaa ππππ
ππππ mbona unaogopa tena??Mi sioYuda Eskariot ,niacheπππ