Gari yangu imeingia maji

Gari yangu imeingia maji

Habari za majukumu wakuu?
Gari yangu aina ya Toyota RAV 4 miss TZ jana ilinasa kwenye dimbwi la maji kwenye kina kirefu kidogo ikabidi mpaka tuite watu yale magari ya breakdown waje waitoe baada ya juhudi zetu kugonga mwamba..
Sasa wakuu kwanza gari baadae ikagoma kuwaka kabisa tukachaji betri ndo ikawaka.. Sasa baada ya hapo ikawa ina mis gia na kupoteza nguvu kabisa na sasa imezima kabisa na haiwaki..
Naombeni msaada wa kitaalam hapa shida itakuwa ni nini maana mimi sina uelewa sana kuhusu magari..
Natanguliza shukrani ndugu zangu
Sku ingne in case umezama na gari izime fasta hiyoo maji yameshauwa kuazia valve, plug, gasket na pengne yameingia hadi njia za oil .....soo hapo n kumwaga engine karibu yote .....gari inapoishiwa nguvu ndan ya maji huvuta maji meng kwa nguvu ndan ya engine
 
Sku ingne in case umezama na gari izime fasta hiyoo maji yameshauwa kuazia valve, plug, gasket na pengne yameingia hadi njia za oil .....soo hapo n kumwaga engine karibu yote .....gari inapoishiwa nguvu ndan ya maji huvuta maji meng kwa nguvu ndan ya engine
Duuuuh aisee 😳😳😳😳
 
Sku ingne in case umezama na gari izime fasta hiyoo maji yameshauwa kuazia valve, plug, gasket na pengne yameingia hadi njia za oil .....soo hapo n kumwaga engine karibu yote .....gari inapoishiwa nguvu ndan ya maji huvuta maji meng kwa nguvu ndan ya engine
Ila haikuzama yote mkuu
 
engine oil ishamix na maji , air cleaner kama ipo wet inamaanisha gari halivuti hewa vizuri , badili air cleaner, plugs zote na engine oil kisha iwache wiki nzima just incase mechatronics za dashboard zimegusa maji popote ikakue.
Ila jua ndani ya mwaka lazima engine ikupige hela ndefu
 
 
engine oil ishamix na maji , air cleaner kama ipo wet inamaanisha gari halivuti hewa vizuri , badili air cleaner, plugs zote na engine oil kisha iwache wiki nzima just incase mechatronics za dashboard zimegusa maji popote ikakue.
Ila jua ndani ya mwaka lazima engine ikupige hela ndefu
Tuliangalia upande wa injini kulikuwa pakavu kabisa pale pale ilipokuwa imenasa yaani maji hayakufika mengi kwenye injini maana haikuzama yote mkuu
 
Back
Top Bottom