Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasikia kwa masikitiko makubwa tumepokea taarifa hivi punde, hatunaye mwana jf mwenzetu😂We jamaa ni comedian, na siku ikikushinda na kalivyo kepesi kuliko bajaji tutapiga story tofauti humu.
JF kuna mtu asie na gari..?😄Na tusio na magari tunakomenti wapi?
N kweli watu, tupunguze kumkomalia.Huu uzi nadhani ni wa kuchangamsha genge tu
Jf ukitia mguu Jf, umesha kuwa tajiri, hivyo sio ajabu wana JF wote kumiliki magari,japo hata Passo😂😂🏃🏃🏃.HamienJF tokeni kwa maister,FB,Tikitoku ,Snap chat na kwenye mauza uza mengineyo 😂🏃🏃😂JF kuna mtu asie na gari..?😄
Omba mungu tyre isibasti maana tutakuja kukutindua hapo na tindoKuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.
Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?
Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.
Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:
A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
- IST zote
- Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
- Premio na mwenzie Allion
- Nissan Dualis na X-trail
- Rumion
- RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)
B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
- Subaru Forester (model karibu zote)
- Ford Ranger (hii gari noma)
- Toyota Hilux
- Landcruiser (VX na jamii yake)
- ALPHARD (toleo jipya)
- Toyota Fortune
- Discovery
- BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
- Toyota Crown
- Brevis
- Harrier na Vanguard
- Range Rover
- Subaru Impreza
Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.
Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).
View attachment 2738606
Wewe ndio mjf halisi sasa.... sio wale wanaotuletea habari hpa wanalilia mademu wanawatesa mara sijui mimi mwenzenu nina matatzo wakati kikawaida jf wote tuna ndinga na na ni washua kwenye mbususu tukisimamia shoo sasa! ni lisaa na nusu bao la kwanza kifupi wjf tumekamilika kila idaraKuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.
Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?
Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.
Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:
A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
- IST zote
- Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
- Premio na mwenzie Allion
- Nissan Dualis na X-trail
- Rumion
- RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)
B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
- Subaru Forester (model karibu zote)
- Ford Ranger (hii gari noma)
- Toyota Hilux
- Landcruiser (VX na jamii yake)
- ALPHARD (toleo jipya)
- Toyota Fortune
- Discovery
- BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
- Toyota Crown
- Brevis
- Harrier na Vanguard
- Range Rover
- Subaru Impreza
Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.
Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).
View attachment 2738606
Shida hao wote uliowapita hawakuwa wanajua kama mnashindana any way karbu kibaja maili mojaKuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.
Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?
Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.
Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:
A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
- IST zote
- Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
- Premio na mwenzie Allion
- Nissan Dualis na X-trail
- Rumion
- RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)
B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
- Subaru Forester (model karibu zote)
- Ford Ranger (hii gari noma)
- Toyota Hilux
- Landcruiser (VX na jamii yake)
- ALPHARD (toleo jipya)
- Toyota Fortune
- Discovery
- BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
- Toyota Crown
- Brevis
- Harrier na Vanguard
- Range Rover
- Subaru Impreza
Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.
Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).
View attachment 2738606
80% ya wanajf wanaishi Maisha ya kufikirika tu mitandaoni, eti kila mtu jf ana gari na Kila member anaishi darJF kuna mtu asie na gari..?😄
Angalia isije ikaungua ukajuta kushindana na gari zenye kueleweka,ushauri wangu,toa kabisa fire extinguisher kule nyuma,ukae nayo kwenye kiti hapo mbele,maana mkuu naona hiyo gari kama umeichoka...Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.
Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?
Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.
Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:
A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
- IST zote
- Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
- Premio na mwenzie Allion
- Nissan Dualis na X-trail
- Rumion
- RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)
B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
- Subaru Forester (model karibu zote)
- Ford Ranger (hii gari noma)
- Toyota Hilux
- Landcruiser (VX na jamii yake)
- ALPHARD (toleo jipya)
- Toyota Fortune
- Discovery
- BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
- Toyota Crown
- Brevis
- Harrier na Vanguard
- Range Rover
- Subaru Impreza
Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.
Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).
View attachment 2738606
🤣🤣🤣Watu wanapeleka watoto shule asubuhi jamaa akiwapita anakuja kutamba humu! 😆😆
Na ukianzisha uzi wa tiba ya kuongeza nguvu wanamiminika inbox mpaka unashangaa ndio hawa mashujaaWewe ndio mjf halisi sasa.... sio wale wanaotuletea habari hpa wanalilia mademu wanawatesa mara sijui mimi mwenzenu nina matatzo wakati kikawaida jf wote tuna ndinga na na ni washua kwenye mbususu tukisimamia shoo sasa! ni lisaa na nusu bao la kwanza kifupi wjf tumekamilika kila idara