Gari yangu inakimbia sana!

JF kuna mtu asie na gari..?πŸ˜„
Jf ukitia mguu Jf, umesha kuwa tajiri, hivyo sio ajabu wana JF wote kumiliki magari,japo hata PassoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸƒπŸƒ.HamienJF tokeni kwa maister,FB,Tikitoku ,Snap chat na kwenye mauza uza mengineyo πŸ˜‚πŸƒπŸƒπŸ˜‚
 
Omba mungu tyre isibasti maana tutakuja kukutindua hapo na tindo
 
Wewe ndio mjf halisi sasa.... sio wale wanaotuletea habari hpa wanalilia mademu wanawatesa mara sijui mimi mwenzenu nina matatzo wakati kikawaida jf wote tuna ndinga na na ni washua kwenye mbususu tukisimamia shoo sasa! ni lisaa na nusu bao la kwanza kifupi wjf tumekamilika kila idara
 
Shida hao wote uliowapita hawakuwa wanajua kama mnashindana any way karbu kibaja maili moja
 
Angalia isije ikaungua ukajuta kushindana na gari zenye kueleweka,ushauri wangu,toa kabisa fire extinguisher kule nyuma,ukae nayo kwenye kiti hapo mbele,maana mkuu naona hiyo gari kama umeichoka...
 
Na ukianzisha uzi wa tiba ya kuongeza nguvu wanamiminika inbox mpaka unashangaa ndio hawa mashujaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…