Hata nikiendesha nimelala hiyo baby walker yako haitonusa Premio yangu labda ukaroge sumbawanga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😉😉Daah uzi huu umenichekesha sana, sasa mkuu mtu yuko zake na famili yake speed 40 au 50 wewe unampita kwa kasi ya kimbunga halafu unaleta uzi.
Hatari tupuNa ukianzisha uzi wa tiba ya kuongeza nguvu wanamiminika inbox mpaka unashangaa ndio hawa mashujaa
Mkuu hilo jina lako linaonesha wewe ni mnazi wa Werrason kama mimi.Japo sote tutakufa ila kuna mtu naona kabisa analazimisha kwenda kuzimu mapema
Kuna Mwenzio huku nae alikua anaamini gari lake Toyota Noah ndio mambo yote na alikua mbishi sana lakini siku alipopigwa tukio na Audi Q7 ndo alijua kumbe anaendesha jenereta lenye matairi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.
Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?
Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.
Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:
A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
- IST zote
- Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
- Premio na mwenzie Allion
- Nissan Dualis na X-trail
- Rumion
- RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)
B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
- Subaru Forester (model karibu zote)
- Ford Ranger (hii gari noma)
- Toyota Hilux
- Landcruiser (VX na jamii yake)
- ALPHARD (toleo jipya)
- Toyota Fortune
- Discovery
- BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
- Toyota Crown
- Brevis
- Harrier na Vanguard
- Range Rover
- Subaru Impreza
Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.
Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).
View attachment 2738606
kabisa mkuu hujakosea,..naielewa kazi yake sanaMkuu hilo jina lako linaonesha wewe ni mnazi wa Werrason kama mimi.
ile live performance ya zenith 2002 ndo ilinifanya nianze kuchimba na kumfuatilia jamaa ailiuwasha sana akiwa na kundi lake lenye wababe kama, baby ndombe, aimelia lias,heritier watanabe, ferre gola,kabose bulembi, jdt mulopwe ,bill clinton,celeo scram, ali mbonda (tumba),kapaya flamme(solo gitar), papy kakol (drums)Mkuu hilo jina lako linaonesha wewe ni mnazi wa Werrason kama mimi.
Kwanini Toyota huwa mnataja model ila other mnataja maker tu ? Au hamjui bmw nao Wana vigari vya under 1300ccBMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
Alivosema rav4 nimecheka Sana 😁Mkuu umeshawahi kuendesha safari ndefu? Kwasababu kutoka DAR - kibaha hakuna sehemu unaweza kufikia speed 160.
Hiyo ligi unayofanya ni ndogo Sana huwezi kutunisha misuli na premio, rumion,dualis,X trail wala RAV4.....
sidhani kama unaijua vizuri RAV4
5.7L v8 Ina somewhere 381hp hio v6 Ina ngapiHii mentality ya kudhani gari ya cc1290 haiwezi kuishinda yenye cc1490 inabidi isiwepo kwa sasa,land cruiser v8 yenye 5.7L inashindwa na land cruiser L300 yenye 3.3L V6.Teknolojia imebadilika japo mtoa mada huenda ni mchangamsha genge.
Ndio magriti thinker tulionaoEti, mtu anaendesha kwa mwendo wake, barabarani, amkipita tayari gari yake inakimbia kuliko zingine.
Usipopata ajali unawahi kufikaMwendokasi unaua kijana. Shauri yako