Gari yangu inakimbia sana!

Kuna Mwenzio huku nae alikua anaamini gari lake Toyota Noah ndio mambo yote na alikua mbishi sana lakini siku alipopigwa tukio na Audi Q7 ndo alijua kumbe anaendesha jenereta lenye matairi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu hilo jina lako linaonesha wewe ni mnazi wa Werrason kama mimi.
ile live performance ya zenith 2002 ndo ilinifanya nianze kuchimba na kumfuatilia jamaa ailiuwasha sana akiwa na kundi lake lenye wababe kama, baby ndombe, aimelia lias,heritier watanabe, ferre gola,kabose bulembi, jdt mulopwe ,bill clinton,celeo scram, ali mbonda (tumba),kapaya flamme(solo gitar), papy kakol (drums)
 
BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
Kwanini Toyota huwa mnataja model ila other mnataja maker tu ? Au hamjui bmw nao Wana vigari vya under 1300cc


Unavosema Alphard toleo jipya kwani ya zamani unaweza fatana nayo ?
Nikwambie tu hako ka gari chako kanaliwa vizuri na 1NZ ikiwa kwenye body lolote, iwe premio, IST, rumion nk
 


Anacho hicho kigari toka 2020 ..alisema January ananunua Forester kashindwa Sasa kaamua kuja isifia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…